Mgirik nilipokulia unapafahamu vema zile njiapanda zilizoshikana ile mito miwili iliyokuwa inakutana pale ule mti mkubwa uliokuwa na nyuki....stori inaanzia paleHivi mshana jr hii elimu ya uchawi uliipata wapi?
Na ni nn kilikusukuma mpaka ukapata ujasiri wa kuyachunguza haya mambo kiundan sana?
Je ww ni mchawi? Au umewahi kuwa mchawi?
Samahan kwa haya maswali ni katk kueleweshana tu
Ana mpaka maini na mawashiwashiUna moyo?
Ina maana mshana jr ni mchawi au?Mshana jr njooo huku
Mkuu na mm nukufate inbox?Maelezo yako yapo wazi.....hutaki elimu ya kusoma nyota, hutaki uganga bali unataka uchawi, nifuate pm maana hizi elimu msipoziona ndipo mnaposema hazipo duniani.
Mkuu na mm nukufate inbox?INGIA INBOX HUKU NAWATAFUTA WAKUJITOLEA KAMA WEWE KITAMBO
MKUU mshana jr wewe umeshapitia huko tayari au?View attachment 323197View attachment 323198mambo ya College of Wizardry
Huko sikufika kabisa ila kwenye ishu za uchawi kuna wakati hulazimika kubaki mtupuMKUU mshana jr wewe umeshapitia huko tayari au?
Naona wazungu ndio wengi huko, au ni chuo cha wazungu tu? Wangekuwa waafrika wanajifunza uchawi wangekuwa uchi! Kwani kuna uhusiano gani kati ya uchawi wa waafrika na kuwa uchi kwenye shughuli hiyo!
Nani alikwambia eti kuna moto?Dah wewe ni mwanamke au mwanaume na nn faida yako katika hili unataraji upate pepo au moto kwa mungu naomba majibu
Wakati gani huo ambao mchawi hulazimika kubaki "mtupu"?Huko sikufika kabisa ila kwenye ishu za uchawi kuna wakati hulazimika kubaki mtupu
Siwezi kusema hapaWakati gani huo ambao mchawi hulazimika kubaki "mtupu"?
Ina maana hata wazungu wachawi wanalazimika kubaki watupu wakati mwingine, au kubaki utupu ni mbinu ya wachawi waafrika tu?Siwezi kusema hapa
Naye ni binadamu kama wewe tunatofautiana rangi na mazingira nao pia hukaa uchi hata kwenye baadhi ya imani kama satanismIna maana hata wazungu wachawi wanalazimika kubaki watupu wakati mwingine, au kubaki utupu ni mbinu ya wachawi waafrika tu?
Mimi namshukuru sana mshana jr maana ni mkweli! Sasa umeshaambiwa cost yake na huko ni one way! hakuna njia ya kurudi maana ni ngumu! Sasa umeamua kuwa king'ang'anizi, sasa usirudi hapa kulia lia!MMshana jr hilo lisikupe shida
naomba uniungeMgirik nilipokulia unapafahamu vema zile njiapanda zilizoshikana ile mito miwili iliyokuwa inakutana pale ule mti mkubwa uliokuwa na nyuki....stori inaanzia pale
Matukio halisi ya udogoni niliyoshuhudia live
-vifo vya kutisha kwenye zile njiapanda
-makafara yaliyokuwa yanafanyika pale
-Moto uliokuwa unatembea pale
-Moto uliokuwa unaunguza ule mti usiku lakini asubuhi mti uko vile vile
-nyoka vinyonga wadudu wa ajabu na mambo mengine mengi ya pale darajani
.....mambo yote yalianzia pale
Hahahaaa!Kama kweli uko serious tafuta hiki chuo College of Wizardry(CoW)