Nataka kuwa Mchawi

Nataka kuwa Mchawi

Sijawahi kuona mchawi au mganga ambae baba yake na mama yake wako hai.
Jiandae kumla nyama baba au mama ndio uwe mlozi
 
Huku mtaani kwetu wale wanaotajwa Kama wachawi ni hohehahe hawana mbele wala nyuma wapogo tu, wengine eti ni chuma ulete ila ni masikini hawana hata chakula hata nguo.

Uchawi hauna faida.
 
Ni kazi ngumu! Utaweza kugonga ukuta kwa matako upasuke uingie ndani? Utajigeuza mbu, poa ukiuwawa kama mbu anavyouwawa itakuwaje? Ni kazi ngumu acha!! Bado hujatoa kafara watoto wako! Utaweza kula nyama za kutoka makaburini?
 
Ukimpiga sachi mfuko wa shati hukosi kadi ya kile chama pendwa cha pale ufipa.
 
Huku mtaani kwetu wale wanaotajwa Kama wachawi ni hohehahe hawana mbele wala nyuma wapogo tu, wengine eti ni chuma ulete ila ni masikini hawana hata chakula hata nguo.

Uchawi hauna faida.
Wewe ndio unaona hivyo! Wenzio ni matajiri na wanaheshimiwa Kama raisi huko kwenye dunia yao! Hata hawana wivu na maendeleo yako na Wala hawajali!
 
Nenda kenya
download.jpg
 
Back
Top Bottom