Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,676
🤣🤣🙌Mwanamke hawekewi dhamana bana. 🤣
🤣🤣🙌Mwanamke hawekewi dhamana bana. 🤣
Umemaliza mkuu😂😂😂😂😂😂We jamaa senge sanaa yanii. Mwanaume gani unaongozwa na hisia na mihemko badala ya busara. Hakunaga mwanaume anaekomaa na mwanamke anayejiheshimu na msimamo apo tatizo lipo kwa huyo malaya uliyemuoa ana tabia ya staki nataka .
Ameshindwa nini kumblok huyo mzee?? Lengo ni kukuteka akili yako umuone muaminifu kwako kumbe anagawa sana tu huko njee.
Watu mliopigwa matukio na wake zenu mnaona kila mwanamke anafanana na wako, uzoefu wako hauwezi kuwa jibu la jumla na hakuna sehemu mtoa mada kasema mkewe ametumia nguvu kumuelezea hilo tukio.Hakika umemaliza kila kitu Mkuu nadhani hii thread ifungwe sasa[emoji375][emoji375][emoji375]
Umesema kweli angetongozwa na anaempenda wala asingemwambia af Wanawake aina hii ni Wabaya sana siku akija kujua undani wake atakufa kwa HEART ATTACK
Ogopa sana mtu anaetumia nguvu kubwa aaminiwe.
Ambition plus
Kwahio sahizi mkewe unaishi nae vyedi tu kmmmk dah🤣 akija kujua anaeza akazimiaMwaka 2019 nilileta simu yangu kwa fundi kariakoo aina ya Samsung (tablet),,yule fundi akanidhulumu simu yangu,
Jamaa alikuwa fundi mzoefu na maarufu pale kariakoo ,nilichukua namba ya simu ya fundi
Mwaka 2021 nikapata safari ya kwenda Simba [emoji881] sc day,,nikapiga ile namba ya fundi akapokea mwanamke akajitambulisha kuwa mumeo yuko kazin na ile namba mbona ni yake na si ya mume wake? Nikamwambia nitumie namba yake,akaituma nikaongea nae jamaa alishasahau huo uhuni alionifanyia mwaka 2019
Nikasema uyu namlipa kupitia kumla mke wake,,uzuri ilikuwa pisikali na imenizidi miaka kama 3+,,nikaendelea kuchati na uyo dada adi nafka dar ameshakaa kwenye mstari nikamuita eneo ¥ akaja.Nilichomfanya ni kisasi kikubwa sana
Kama cha utopolo dhidi ya river United
Ndugu yngu acha kuamini mwanamke kiasi icho,siyo mama yako uyo,,kausha broo
ewa ilala jumba la cinema..nimeshashuhudia kila Aina ya movie maana niite movie sasa,huwez kunipanga lolote.Aisee ndio mambo yenu ya Ilala hayo🧐
Hahahah ni noma sana, hio kauli inakera sana maskioni.Utagombana na wangapi?
Mkeo hawezi kudeal na huyo Mzee peke yake?
Kangi mbombo ngafu
That what happens when you trust a woman.Ambition plus
Akiiiii am speechless 🤐🤐🤐🤐🤐
Hii imenifunza pakubwa sana..eeh
Miaka minne..yaan 4 good year’s? Aisee huyo ni Professional Prostitute
Mbona kwa hiyo chats tu anaonyesha ni Malaya aliekubuhu ameoza hafai
Uwiiiiiii yaan ungeoa bomu 💣 💣 💣lingekulipukia anytime
Ila siku zote MWENYEZI MUNGU hamfichi Mnafki ata siku 1 ataku ectia wee lakin kuna siku 1 tu utapata kuyajua yote
Dah ivi hukulazwa kweli? Ulikua kwenye wakati gani Kiongozi? Yaan I can feel the pains you have undergone through
Pole sana jaman..then ulipomkata ivyo alikua kwenye situation gan? Alijiweza ata kusema chochote kile? O.M.G😱 😱 😱
Kwahio mwisho ukakubaliana naye😀Huyu ni gaidi,amemkana katakata.
Anaulimi mtam sana,ametumia kauli "Tam Tam " kumkana,Amelia sana na kumpigia simu mbele yangu japo nilimkataza, "eti mpenzi wangu amekamata sms zetu,hivi mimi nina mahusiano na wewe?"
Kuna wengine wanne amewakataa pia,mmoja ni mfanyakazi mwenzie,anamjulia hali yeye kakazana kumwita dear,kila asubuh anam-chartisha kumjulia hali.
Ukitumia moyo inakula kwako.hapa ni akili mtu wangu.
Anyway nitafungua uzi wangu,nitaweka screen shot zote,maneno makali nitaya-hide.
Ukichunguza vizur utagundua wewe ndio Senge basi tu hujajua, unapata ujasiri kabisa wa kumuita mke wa mwenzako Malaya kwa malezi yako mabovu tu, Mwanaume kamili sio yule anayeweza kuvumilia ujinga, ukiona mtu anachukulia poa hilo jambo kuna mawili, aidha yeye ni mwenye tabia hizo au ni mjinga fulani asiyejua maana ya kujenga familia. Kuna Mila na hata dini zimeweka misingi mizuri tu kwenye hilo swala na adhabu zake tena kwenye baadhi ya jamii au dini ni kifo tu. Ukimlaumu huyo mwanamke kwanini asingemblock kwanini hujiulizi kwanini huyo Mzee naye asingeacha baada ya kuambiwa na ushahidi umesemwa? Mnatetea huyo Mzee mjinga mwenzenu kwa hoja dhaifu.We jamaa sengel sanaa yanii. Mwanaume gani unaongozwa na hisia na mihemko badala ya busara. Hakunaga mwanaume anaekomaa na mwanamke anayejiheshimu na msimamo apo tatizo lipo kwa huyo malaya uliyemuoa ana tabia ya staki nataka .
Ameshindwa nini kumblok huyo mzee?? Lengo ni kukuteka akili yako umuone muaminifu kwako kumbe anagawa sana tu huko njee.
Wewe bado hujawajua wanawake. Tulia acha kutafuta shari hujui itaishaje.Aliyesema mke wa mtu sumu hakukosea.
Ni hivi, nina miezi miwili toka nioe tena ndoa ya kanisani, mke wangu tunazungumza lugha moja (lugha ya mama) nikiwa na maana sisi wote ni kabila moja.
Ni mwanamke tunaependana sana japo mimi nimemuacha kama miaka mitano ki umri. Tabia yake na mitazamo yake ni vitu vilivyonishawishi kumuoa.
Leo ameamua kuniambia kuwa mume wangu nakupenda sana na sipo tayari kuharibu ndoa yangu nakupenda na naomba nikwambie ukweli.
Nimechoka na usumbufu wa huyu Mzee x, amekuwa ananitongoza na kunitumia meseji zake za kijinga jinga na nimeshawaambia kuwa unatambua kuwa mi ni mke wa mtu, na wewe una mkeo, umemsikia mume wangu amekuja kumtongoza mkeo? Kwanini unataka kuniharibia ndoa yangu? Hizi ni ujumbe kwenye simu ya mke wangu.
Na leo kapiga simu mke wangu kaweka sauti kubwa Ili nimsikie vizuri, na akaniambia wewe angalia hata CCTV camera, amekuwa anakuja hapa nyumbani. Nimemjibu mke wangu niachie hilo suala, itakuwa funzo hapa mtaani kwetu. Nimemwambia mke wangu asante kwa ujumbe, sitaua ila itakuwa fundisho juu yake na litaacha doa kwenye mwili wake.
Mimi simu yangu sijaweka password na mke wangu anaitumia muda wotewote na nilishamwambia ukiona mwanamke ananiletea ukaribu wa kimapenzi malizana naye nitakupa ushirikiano. Nampenda sana mke wangu na sijaona mwanamke wa kunifanye niweze kumsaliti mke wangu.
Huyu Mzee nimepanga haya yafuatayo dhidi yake;
1. Kupanga na mke wangu afanye kama amekubali ili aje mpaka ndani chumbani nimkute chumbani Ili nimvunje mguu na mikono yote miwili, ushahidi ni CCTV camera itaonyesha kila kitu, maana maana nina camera ambazo ni za siri zinazooneka na zisizoonekana kiurahisi, wazee wa misheni ngumu wananielewa.
2. Nimwekee mitego ardhini ya kimesheni ajimalize yeye mwenyewe, asubuhi polisi waje wafanye uchunguzi wa tukio maana nitakuwa kazini na kupigiwa simu kurudi nyumbani kwa tukio litalomkuta[emoji1][emoji1].
3. Nitumie tu busara kwenda kumwambia acha hii tabia itakugarimu.
Vijana bado mnamihemko ya mapenzi,mwanamke kutongozwa ni sawa na sala ya baba yetu uliyembinguni,sasa kama kila akitongozwa anakuambia mbona utaugua kifaduro wewe!!?kama umeoa tambua hakuna mwanamke rahisi kumpata kama hawa walio kwenye ndoa,sasa yakubidi ujiandae,kama hulijui hili utajiua.Sasa wewe unaona kutongoza wake za watu ni akili? Lipi jema kwako wewe kubaki na rafiki/ ndugu asuyekuwa na adabu/msaliti au kumjua ili umuepuke? Nyinyi ndio wale masela mavi kufichiana ujinga siku yakiwa upande wako hutakuja kuongea ujinga huu.
Kijamii, kidini hiyo kitu haikubaliki na hakuna namna ya kuficha Uovu huo kwa visingizio vya kijinga eti mwanamke lazima atongozwe, huo ulazima umewekwa na nani kama sio ushetani na upuuzi tu wa baadhi ya watu?
Ukiona mwanaume anamtongoza mke wa mtu tena ashaambiwa aache, hakuna njia nyingine anapaswa kuonywa zaid ya adhabu ya kuumiza na hiyo ndio haki anapaswa kupatiwa mtu wa namna hiyo.
Na hakuna namna😁Hahahah ni noma sana, hio kauli inakera sana maskioni.
Kwenye hiyo ''koma kama ulivyokomaa kwenye titi la mama yako'' ndio jibu pekee la kumkomesha mwanaume asiendelee kumtongoza mke wa mtu? Kila mwanamke akisema hivyo basi ashamaliza kazi, na je mtoa mada kuna sehemu kasema mkewe hajawahi kumuambia huyo Mzee amkome?Vijana bado mnamihemko ya mapenzi,mwanamke kutongozwa ni sawa na sala ya baba yetu uliyembinguni,sasa kama kila akitongozwa anakuambia mbona utaugua kifaduro wewe!!?kama umeoa tambua hakuna mwanamke rahisi kumpata kama hawa walio kwenye ndoa,sasa yakubidi ujiandae,kama hulijui hili utajiua.
Yaani kwa akili yako unaona sawa kabisa kumuumiza mwaamme mwenzio kisa katongoza mkeo!? Hili si balaa!
Nguvu ya kumfanya mwanamme aendelee au asiendelee kumtongoza mwanamke huwa anayo mwanamke mwenyewe,sasa imajini unatongoza mke wa mtu anakuambia Mme wangu akijua itakuwa balaa,au anakwambia Mimi naogopa kuchepuka sasa hapo Mimi nitaacha kuendelea kumfuatilia.
Hebu niambie unatongoza mke wa mtu anakuambia nikome kama ulivyokoma kunyonya titi la mama yako ,kweli utaendelea kutongoza huyo mtu!?
Ndo maana nikasema anayefanya haya mambo yaendelee ni mke wa jamaa,na hivyo yeye amalizane huko huko nawatongozaji wake sio kumwambia jamaa,maana wanawake wanambinu nyingi za kuwahadaa wanaume
Atarudi kuwaomba ushauri 😀Mwache kijana afurahie miezi miwili ya ndoa bado wanapendana sana. 😀
Akifika mwaka wa 8 ndio ataelewa kwanini watu hupitia bar kabla ya kurudi mjengoni.
Hahahahah hilo liko wazi mwanamke ndio final say kama hataki ni hataki tu na wako very straight. Unakula block unatulia zako tuliiVijana bado mnamihemko ya mapenzi,mwanamke kutongozwa ni sawa na sala ya baba yetu uliyembinguni,sasa kama kila akitongozwa anakuambia mbona utaugua kifaduro wewe!!?kama umeoa tambua hakuna mwanamke rahisi kumpata kama hawa walio kwenye ndoa,sasa yakubidi ujiandae,kama hulijui hili utajiua.
Yaani kwa akili yako unaona sawa kabisa kumuumiza mwaamme mwenzio kisa katongoza mkeo!? Hili si balaa!
Nguvu ya kumfanya mwanamme aendelee au asiendelee kumtongoza mwanamke huwa anayo mwanamke mwenyewe,sasa imajini unatongoza mke wa mtu anakuambia Mme wangu akijua itakuwa balaa,au anakwambia Mimi naogopa kuchepuka sasa hapo Mimi nitaacha kuendelea kumfuatilia.
Hebu niambie unatongoza mke wa mtu anakuambia nikome kama ulivyokoma kunyonya titi la mama yako ,kweli utaendelea kutongoza huyo mtu!?
Ndo maana nikasema anayefanya haya mambo yaendelee ni mke wa jamaa,na hivyo yeye amalizane huko huko nawatongozaji wake sio kumwambia jamaa,maana wanawake wanambinu nyingi za kuwahadaa wanaume
Nyie sio watu aisee 😀😀😀Una utani mwingi sana🤣🤣🤣🤣
Aliyesema mke wa mtu sumu hakukosea.
Ni hivi, nina miezi miwili toka nioe tena ndoa ya kanisani, mke wangu tunazungumza lugha moja (lugha ya mama) nikiwa na maana sisi wote ni kabila moja.
Ni mwanamke tunaependana sana japo mimi nimemuacha kama miaka mitano ki umri. Tabia yake na mitazamo yake ni vitu vilivyonishawishi kumuoa.
Leo ameamua kuniambia kuwa mume wangu nakupenda sana na sipo tayari kuharibu ndoa yangu nakupenda na naomba nikwambie ukweli.
Nimechoka na usumbufu wa huyu Mzee x, amekuwa ananitongoza na kunitumia meseji zake za kijinga jinga na nimeshawaambia kuwa unatambua kuwa mi ni mke wa mtu, na wewe una mkeo, umemsikia mume wangu amekuja kumtongoza mkeo? Kwanini unataka kuniharibia ndoa yangu? Hizi ni ujumbe kwenye simu ya mke wangu.
Na leo kapiga simu mke wangu kaweka sauti kubwa Ili nimsikie vizuri, na akaniambia wewe angalia hata CCTV camera, amekuwa anakuja hapa nyumbani. Nimemjibu mke wangu niachie hilo suala, itakuwa funzo hapa mtaani kwetu. Nimemwambia mke wangu asante kwa ujumbe, sitaua ila itakuwa fundisho juu yake na litaacha doa kwenye mwili wake.
Mimi simu yangu sijaweka password na mke wangu anaitumia muda wotewote na nilishamwambia ukiona mwanamke ananiletea ukaribu wa kimapenzi malizana naye nitakupa ushirikiano. Nampenda sana mke wangu na sijaona mwanamke wa kunifanye niweze kumsaliti mke wangu.
Huyu Mzee nimepanga haya yafuatayo dhidi yake;
1. Kupanga na mke wangu afanye kama amekubali ili aje mpaka ndani chumbani nimkute chumbani Ili nimvunje mguu na mikono yote miwili, ushahidi ni CCTV camera itaonyesha kila kitu, maana maana nina camera ambazo ni za siri zinazooneka na zisizoonekana kiurahisi, wazee wa misheni ngumu wananielewa.
2. Nimwekee mitego ardhini ya kimesheni ajimalize yeye mwenyewe, asubuhi polisi waje wafanye uchunguzi wa tukio maana nitakuwa kazini na kupigiwa simu kurudi nyumbani kwa tukio litalomkuta[emoji1][emoji1].
3. Nitumie tu busara kwenda kumwambia acha hii tabia itakugarimu.
Hahahah🤣🤣🤣Nyie sio watu aisee 😀😀😀