wewe unajuaje kama jambo lake ni dogo? Unajuaje kama shida yake ni mapenzi? Unaposema analia mbele ya wanaume wenzake unamaanisha nini?
wewe unajuaje kama jambo lake ni dogo? Unajuaje kama shida yake ni mapenzi? Unaposema analia mbele ya wanaume wenzake unamaanisha nini?
kwani akiwa mwanaume ndo sio binadamu? Haumii? Hana moyo? Hana hisia? Nyie ndo mnapelekea wenzenu wajiue.
wewe unajuaje kama jambo lake ni dogo? Unajuaje kama shida yake ni mapenzi? Unaposema analia mbele ya wanaume wenzake unamaanisha nini?
Mwee Reina princess naomba tufanye yaishe.....:bange:
Namshangaa sana huyu jamaaa
Hahahaaaa safi sana Reina!
Mwalimu wako apewe heko!
Umembana jamaa hadi kaomba po....teh teh teh
Napata Mashaka, huendanijichunguze nini sasa?
Wakati ndio nimegundua ninaowahitaji hawanihitaji
Niko katika hali ya kusikitisha kila siku mimi hulia machozi maana sina hata mtu wa kunisalimia hata kwa mbali nahisi kufa kufa hata sili maana ninaowahitaji nafikiri hawanihitaji hata kidogo. Sijui mimi nimemkosea nini Mungu.
Naombeni ushauri.