Nataka kusema lakini wa kumwambia simpati

Nataka kusema lakini wa kumwambia simpati

M45

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
1,461
Reaction score
2,321
Niko katika hali ya kusikitisha kila siku mimi hulia machozi maana sina hata mtu wa kunisalimia hata kwa mbali nahisi kufa kufa hata sili maana ninaowahitaji nafikiri hawanihitaji hata kidogo. Sijui mimi nimemkosea nini Mungu.

Naombeni ushauri.
 
Niko katika hali ya kusikitisha kila siku mimi hulia machozi maana sina hata mtu wa kunisalimia hata kwa mbali nahisi kufa kufa hata sili maana ninaowahitaji nafikiri hawanihitaji hata kidogo. Sijui mimi nimemkosea nini Mungu.

Naombeni ushauri.
wewe ni ke au me
 
Pole.Wengine tushalia wee mpaka machozi yamegoma kutoka.Asa hivi tunamove on with life.Vumilia one day utapata atakayekuhitaji usiwe na haraka
 
Ukimtegemea binadam utaumia

usiangalie kwanini hawakujali

Tafuta kanisa au msikiti anza mahusiano na watumishi hao wa Mungu pamoja na waumini wao

Tafuta pesa mengine yote yatanyooka hata asie ndugu yako atasema ni binam yako
 
Niko katika hali ya kusikitisha kila siku mimi hulia machozi maana sina hata mtu wa kunisalimia hata kwa mbali nahisi kufa kufa hata sili maana ninaowahitaji nafikiri hawanihitaji hata kidogo. Sijui mimi nimemkosea nini Mungu.

Naombeni ushauri.

Pole ndugu yangu kwanza amini Mungu hamtupi mja wake hali unayopitia ni ya muda mfupi tu. Mkristo maana yake mfuasi wa kristo yesu. Sasa kama yesu alikubali kutoa uhai wake ili mimi na wewe tukombolewe sembuse mtu wa kukusalimia/kumwambia yanayokusibu? Kwa mujibu wa wataalamu wa saikolojia kumwambia mtu mwingine kile kinachokusibu ni hatua mojawapo ya wewe kuondoa/punguza stress. Please kama hautojali karibu
 
Kwa Mungu kila jambo linawezekana ndugu,saikolojia yako iwe chanya usijitenge jichanganye mweleze Mungu haja yako,anasema haja zetu zijulikane mbele yake
 
Funguka mkuu ushauliwe kuliko kuendelea kulia lia maana hapa ndiyo mahali pake.
 
Mkuu mi nakushauri piga kazi sana, make money kisha utaona wenyewe wanaleta papuchi. Utatafuna mpaka utazichoka!
 
Niko katika hali ya kusikitisha kila siku mimi hulia machozi maana sina hata mtu wa kunisalimia hata kwa mbali nahisi kufa kufa hata sili maana ninaowahitaji nafikiri hawanihitaji hata kidogo. Sijui mimi nimemkosea nini Mungu.

Naombeni ushauri.

kwani ni kitu gani hicho? si umwambie tu hata mama yako?
 
Back
Top Bottom