Nataka kusema lakini wa kumwambia simpati

Nataka kusema lakini wa kumwambia simpati

kwa mungu kila jambo linawezekana ndugu,saikolojia yako iwe chanya usijitenge jichanganye mweleze mungu haja yako,anasema haja zetu zijulikane mbele yake

asante kamanda
 
kama unawaza kufanya kazi basi wewe ujisikii kufa kufa!

kazi nafanya sababu ni wajibu wangu.
Lakini jamii yangu ndio inanifanya nahis watu hawa sio sahihi kwangu.

Watu walionizunguka ni wabinafsi

watu walionizunguka ni wasengenyaji

watu walionizunguka ni kwa ujumla ni wachoraji kukuchora, kukukebehi ili waone unajibu nini nimevumilia sana lakini bado.
 
Tafta sukari ya warembo PESA. Then watakuja aina zote. Usikute unakula kwa mama unataka watoto wazr utaambulia matus
 
Usikate tamaaa kabisa yupo tu aliyeumbwa kwa ajili yako jipe moyo mkuu wanaume mmeumbwa ili upambane na maisha kumbuka utakula kwa jasho hayo ni changamoto ktk maisha jichanganye ktk jamii utafanikiwa tu pia muombe sana mungu wako
 
Hakuna mtu aliyedhalilishwa kama umehisi hivo basi lakin post yangu hailengi kudhalilisha utu wa binaadam

mwanaume gani unalialia kwa mambo kama haya ya kawaida sanaa.... yaani kuishi kote huko hujaona mwanamke wa kupunzikia.....

unatudhalilisha bana jaribu kuficha ujinga wako........mwanaume kamili hayuko hivyo!
 
kwani akiwa mwanaume ndo sio binadamu? Haumii? Hana moyo? Hana hisia? Nyie ndo mnapelekea wenzenu wajiue.

Sikatai kila binadamu ana hisia lakini mwanaume kama mwanaume anapaswa ku-act tofauti na mwanamke sio kulialia....tena mbele ya wanaume wenzako alaaah...!

he supposed to be a gentleman...! kama atalia kwa jambo dogo kama hili je siku akichapiwa mke wake wa ndoa si ndo atachizika kabisaa...!
 
mwanaume gani unalialia kwa mambo kama haya ya kawaida sanaa.... Yaani kuishi kote huko hujaona mwanamke wa kupunzikia.....

Unatudhalilisha bana jaribu kuficha ujinga wako........mwanaume kamili hayuko hivyo!


wewe nafikiri unajibu sio kwamba unahitajika kujibu bali unataka malumbano.

Nimekuambia haja yangu si ngono au mapenzi unapolazimisha eti katafute mwanamke wa kupumzikia kwani hii post ilikua inasemaje.

Fikiri tena
 
sikatai kila binadamu ana hisia lakini mwanaume kama mwanaume anapaswa ku-act tofauti na mwanamke sio kulialia....tena mbele ya wanaume wenzako alaaah...!

He supposed to be a gentleman...! Kama atalia kwa jambo dogo kama hili je siku akichapiwa mke wake wa ndoa si ndo atachizika kabisaa...!


wewe ongea uhslisia wa jambo sio kuchanganya na hisia zako
 
wewe ongea uhslisia wa jambo sio kuchanganya na hisia zako

Komaa ww acha kulialia.......Life is easier than you think.
Sasa ww endelea kulialia siku ukutane na mwanamke kama lara 1 utadata mwenyewe....!
 
Hama mkoa, kumbuka Abraham aliambiwa na Mungu ondoka eneo hili akamwonyesha aende wapi, 7b ww husemi na Mungu basi mm nakuambia hama. Ushaur ni bule cyo pesa.
 
Jaman lakin tuacheni utani haya maisha usipokuwa makin waweza jificha mahali ukalia kwa raa zako loooool jikaze ila kujitoa ufaham saazingine kujiliza iko raa yake __________- Next time jimix na watu wawea sahau shida ako _________- Shirikisha pia mambo yako yanokutatiza wewe waweza ona ni makubwa lakin ukishirikisha utashangaaaa vile huwa mepesi
 
Niko katika hali ya kusikitisha kila siku mimi hulia machozi maana sina hata mtu wa kunisalimia hata kwa mbali nahisi kufa kufa hata sili maana ninaowahitaji nafikiri hawanihitaji hata kidogo. Sijui mimi nimemkosea nini Mungu.

Naombeni ushauri.

Wewe wenzio tunakimbia wewe unakimbilia aya ukimpata ucsahau kuja tena hapa
Jf napata raha hakuna stress tena
Cwataki hata kidogo nimetosha pekeneke
 
Sikatai kila binadamu ana hisia lakini mwanaume kama mwanaume anapaswa ku-act tofauti na mwanamke sio kulialia....tena mbele ya wanaume wenzako alaaah...!

he supposed to be a gentleman...! kama atalia kwa jambo dogo kama hili je siku akichapiwa mke wake wa ndoa si ndo atachizika kabisaa...!

wewe unajuaje kama jambo lake ni dogo? Unajuaje kama shida yake ni mapenzi? Unaposema analia mbele ya wanaume wenzake unamaanisha nini?
 
Back
Top Bottom