bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 8,094
- 7,849
M45, katika dunia hii utaishi mara moja tu na wewe umeteuliwa kuishi katika karne hii ya teknolojia.
Tafadhali usijipe mawazo ya kujiua na kujikosesha mauhondo ya dunia hii. Jitahidi tu na Mungu atakuwa pamoja nawe.
Futa delete kabisa hizo fikra za kufa kufa, piga moyo konde uendelee na maisha. Huwezi amini inawezekana kabisa kwamba Mwenyezi Mungu amekupangia mazuri katika dunia hii.
Tafadhali usijipe mawazo ya kujiua na kujikosesha mauhondo ya dunia hii. Jitahidi tu na Mungu atakuwa pamoja nawe.
Futa delete kabisa hizo fikra za kufa kufa, piga moyo konde uendelee na maisha. Huwezi amini inawezekana kabisa kwamba Mwenyezi Mungu amekupangia mazuri katika dunia hii.