Strictly Syrup
JF-Expert Member
- Aug 4, 2013
- 1,227
- 1,821
Mungu akubariki mkuuPole ndugu yangu kwanza amini Mungu hamtupi mja wake hali unayopitia ni ya muda mfupi tu. Mkristo maana yake mfuasi wa kristo yesu. Sasa kama yesu alikubali kutoa uhai wake ili mimi na wewe tukombolewe sembuse mtu wa kukusalimia/kumwambia yanayokusibu? Kwa mujibu wa wataalamu wa saikolojia kumwambia mtu mwingine kile kinachokusibu ni hatua mojawapo ya wewe kuondoa/punguza stress. Please kama hautojali karibu