Nataka kuoa Dada wa Mo Dewji (Fatma Dewji)

Nataka kuoa Dada wa Mo Dewji (Fatma Dewji)

Kuna binti mmoja mtoto wa Waziri fulani...

Nilimtongoza ...
Nkamwambia malengo yangu nae...

Jibu alilonipa baba yako na baba yangu wakikaa pamoja watazungumza nini Cha maaana.
huyo naye pimbi cha muhimu ni kwamba una hela tu
 
Kuna binti mmoja mtoto wa Waziri fulani...

Nilimtongoza ...
Nkamwambia malengo yangu nae...

Jibu alilonipa baba yako na baba yangu wakikaa pamoja watazungumza nini Cha maaana.
 
Nishapata njia moja kuna mdau kaniambia ana visemina vyake vya Business Management nifuatilie ngoja nione natafuta ile Pitching Scene tu itatosha.
 
Uko vizuri mkuu!maana unaweza kuambiwa meeting point ya kwanza ni kwenye moja wapo ya kumbi za Hyatt Regency...
 
Uko vizuri mkuu!maana unaweza kuambiwa meeting point ya kwanza ni kwenye moja wapo ya kumbi za Hyatt Regency...
Am working on it hiyo ni dating au second meeting ndio inaweza kuwa huko nita propose first place sehemu ya kawaida sitaki niitaje atani Spot.
 
Aiiiii na damu yako chafu ndugu utakubalika?

Watoto wa vigogo ndo wanaweza kujaribu ingawa nao sio rahisi kukubalika
 
Mkuu usisahau kutupa mrejesho ukishajibiwa..๐Ÿ˜€
Nikitolewa nje nitakuja kugawa experience nikizama mtima sitakuwa na muda aisee am ethical enough to my lovely.
 
Daa kweli mapenzi upofu,demu ni flat screen sijawahi ona!,ila sio mbaya jamaa utakuwa unachezea unywele usinga ,sie wenzako twachezea wowowo
Hahaha...umenifanya nicheke sana kamanda pamoja na huzuni hii ya JPM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom