Nataka kuoa Dada wa Mo Dewji (Fatma Dewji)

Nataka kuoa Dada wa Mo Dewji (Fatma Dewji)

Malia = Maria
Kaaa humo ni Malia..huyo Maria ni wenu wa kikatoliki huko...🤣🤣🤣

Screenshot_20220227-135536_Samsung Internet.jpg
 
Anzia kwa mganga kwanza, akiingia kingi usilaze dam piga mimba faster akija kushtuka ana vitoto viwili
 
Wadau Salam

Nampenda sana Dadayake Mo Dewji anaitwa Fatma Dewji nina nia naye ya kumuoa kujenga malengo pamoja.

Ninawezaje kukutana naye kwa urahisi ili ku-propose dhamira yangu kwake.

Nafikiri nina Hold mengi ya kufikisha kwake na atayapokea.

Nawasilisha
Ukihitaji mshenga niko hapa, nina uzoefu wa kutosha, suti na moka maridadi kabisa. Na kuhusu bargaining mi ndio bingwa unaweza pewa mke bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom