Nataka kuoa Dada wa Mo Dewji (Fatma Dewji)

Nataka kuoa Dada wa Mo Dewji (Fatma Dewji)

Maskini bhana huwa tunawazaga mambo mengi sana ambayo hata hayawezi tokea kabisa katika maisha yetu najua nia yako ni kuondokana na ufukara tu si lingine hapo
Kweli aisee. Hata Watoto huwa wanasimama kando ya barabara kisha kila gari linalopita wao wanashindana kuliwahi eti hilo gari langu hilo!.

Ni sawa na huyu anaetamani visivyo saiz yake.
 
Wadau Salam

Nampenda sana Dadayake Mo Dewji anaitwa Fatma Dewji nina nia naye ya kumuoa kujenga malengo pamoja.

Ninawezaje kukutana naye kwa urahisi ili ku-propose dhamira yangu kwake.

Nafikiri nina Hold mengi ya kufikisha kwake na atayapokea.

Nawasilisha
Malengo yake yashatimia, na yeye anatafuta mtu ambaye kishatimiza malengo.

Yupo Mtoto wa Jeetu Patel ndiye anatoka naye, kirafiki lakini.
 
Wote ni wake za watu
Kuwa Mke wa mtu haizuii kitu. Sikuhizi watu hawatishiki na pete za ndoa, ukiwa na sera nzuri tu mdomoni unaachiwa mzigo.

Alichokosea mtoa mada ni kutaka kuoa kabisa, ili Mo aje kumuita shemeji.
 
Wadau Salam

Nampenda sana Dadayake Mo Dewji anaitwa Fatma Dewji nina nia naye ya kumuoa kujenga malengo pamoja.

Ninawezaje kukutana naye kwa urahisi ili ku-propose dhamira yangu kwake.

Nafikiri nina Hold mengi ya kufikisha kwake na atayapokea.

Nawasilisha
Nani anataka kujichanganya na Ndondocha?
 
Kuwa Mke wa mtu haizuii kitu. Sikuhizi watu hawatishiki na pete za ndoa, ukiwa na sera nzuri tu mdomoni unaachiwa mzigo.

Alichokosea mtoa mada ni kutaka kuoa kabisa, ili Mo aje kumuita shemeji.
Msizwa-style
 
Kweli aisee. Hata Watoto huwa wanasimama kando ya barabara kisha kila gari linalopita wao wanashindana kuliwahi eti hilo gari langu hilo!.

Ni sawa na huyu anaetamani visivyo saiz yake.
Yani huu umaskini utakuna kutumaliza
 
Atabadiri msimamo niki deliver what I hold withing
Mkuu tusikutie moyo wewe malizana naye kwenye picha mziki una wenyewe ule huwezi kumuoa ulisikia wapi?/ bora angekuwa mzungu muhindi sahau kabisa mzee baba
 
Ihiiiii uta-deliver nn mkuu kumwambia utakufa kwaajili yake?mtafute lwanda magere humu ndani akupe dawa...ukienda tu kuongea unakubalika..
 
Wakati mwingine muache kufikiri mambo ambayo hayawezi kutokea
 
Kuna binti mmoja mtoto wa Waziri fulani...

Nilimtongoza ...
Nkamwambia malengo yangu nae...

Jibu alilonipa baba yako na baba yangu wakikaa pamoja watazungumza nini Cha maaana.
Huyo dem kolo sana huyo sasa huyo dingi ake leo bado waziri ama...?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom