Kwann wafipa?Nenda kaoe wafipa kijana acha kupoteza muda.
Naona unataka kuchafuu koo za watu ambazo wamezienzi vizazi kwa vizazi




Mwenzio ni tajiri tayari,hayo malengo mtayojenga pamoja ni yapi? au kufyatua watoto wengi?




Mbuzi mjazitoKaolewe
Damu chafu ndo ikojeAiiiii na damu yako chafu ndugu utakubalika?
Watoto wa vigogo ndo wanaweza kujaribu ingawa nao sio rahisi kukubalika
Demu wa Deo Kisandu aka Don Nalimison..utapasuliwa bichwa hilo kuwa makini.Mimi nataka kumuoa yule mtoto wa Obama Malia sijui anaitwa
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
African blood weupe ndo wanaiitaga damu chafuDamu chafu ndo ikoje
Labda Kama anataka ugomvi na muddyNi binti wa Kihindi yule, huwa wanachumbiwa na wahindi wenzao.
Labda ungemuwazia yule CEO wa Timu ya Simba, nae anafaafaa akijipodoa huwa ananoga sana.
Huku haingiagi unafeli sasaWadau Salam
Nampenda sana Dadayake Mo Dewji anaitwa Fatma Dewji nina nia naye ya kumuoa kujenga malengo pamoja.
Ninawezaje kukutana naye kwa urahisi ili ku-propose dhamira yangu kwake.
Nafikiri nina Hold mengi ya kufikisha kwake na atayapokea.
Nawasilisha
Hahaah noma kweliShemeji wapi njaa zinamsumbua tu huyo.
African blood weupe ndo wanaiitaga damu chafu
I hope you don't believe that...African blood weupe ndo wanaiitaga damu chafu
fanya ku google kwanza mkuu 🚶♂️ 🚶♂️ 🚶♂️Wadau Salam
Nampenda sana Dadayake Mo Dewji anaitwa Fatma Dewji nina nia naye ya kumuoa kujenga malengo pamoja.
Ninawezaje kukutana naye kwa urahisi ili ku-propose dhamira yangu kwake.
Nafikiri nina Hold mengi ya kufikisha kwake na atayapokea.
Nawasilisha
Waziri gani?Ni binti wa Kihindi yule, huwa wanachumbiwa na wahindi wenzao.
Labda ungemuwazia yule CEO wa Timu ya Simba, nae anafaafaa akijipodoa huwa ananoga sana.