Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 207
Hi wana JF!
Nimetokea kupendwa kupita kiasi na demu wa zaman wa mshikaji wangu wa karibu sana. Huyu demu ananiambia toka siku aliponiona (yeye akiwa na mshikaji wangu) alitokea kunipenda sana na kwa sasa wameachana na demu kaja kwangu completly na hv tayari nime mu engage! Je nimuoe? Mshikaji atajisikiaje?? Msaada tutani.
Hi wana JF!
Nimetokea kupendwa kupita kiasi na demu wa zaman wa mshikaji wangu wa karibu sana. Huyu demu ananiambia toka siku aliponiona (yeye akiwa na mshikaji wangu) alitokea kunipenda sana na kwa sasa wameachana na demu kaja kwangu completly na hv tayari nime mu engage! Je nimuoe? Mshikaji atajisikiaje?? Msaada tutani.
Hi wana JF!
Nimetokea kupendwa kupita kiasi na demu wa zaman wa mshikaji wangu wa karibu sana. Huyu demu ananiambia toka siku aliponiona (yeye akiwa na mshikaji wangu) alitokea kunipenda sana na kwa sasa wameachana na demu kaja kwangu completly na hv tayari nime mu engage! Je nimuoe? Mshikaji atajisikiaje?? Msaada tutani.
We oa kiporo cha mshikaji. Unajiona bingwa kumbe jamaa anakucheka kwa madhaifu ya huyo demu. Tutumie kadi za mchango
kwele kabisa.....DR. SLAA KAHARIBU WENGI HUMU....kila mtu anataka kuchukua mfano wake....... kweli kiongozi mbaya hurithisha mabaya jamii anayoiongoza
Endeleea! kama unaona uko poa, na unajisikia saaaafi bila kuharibu uhusino na jamaa wako wa karibu na umeweka kila kitu wazi kwa jamaa yako then Go ahead mkuu. Ila navyojua lazima kuna ugumu fulani kama hujaweka mambo wazi kwa jamaa yako wa karibu.