Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,667
- 12,289
Wadau JF,
Nataka kununua simu ya mkononi ya kike,nadhani wengi mnajua simu za kike almost huwa na rangi kama nyekundu pink nk,iwe NZIMA na touch Screen,kamera ya ukweli na iwe fast kwenye Internet apps.
Bei iwe ya kawaida,sina pesa kihivyo ndio maana nimeshindwa kwenda dukani kununua directly.Simu iwe mpya au Used ila iwe Nzima idara zote.
Aliye nayo ani PM picha yake na specifications zake pamoja na Net price yake.Au tuma email to mbuyi83@yahoo.com
Niko Arusha.
Nataka kununua simu ya mkononi ya kike,nadhani wengi mnajua simu za kike almost huwa na rangi kama nyekundu pink nk,iwe NZIMA na touch Screen,kamera ya ukweli na iwe fast kwenye Internet apps.
Bei iwe ya kawaida,sina pesa kihivyo ndio maana nimeshindwa kwenda dukani kununua directly.Simu iwe mpya au Used ila iwe Nzima idara zote.
Aliye nayo ani PM picha yake na specifications zake pamoja na Net price yake.Au tuma email to mbuyi83@yahoo.com
Niko Arusha.