hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,805
Hivi kwa sasa kwa soko la bongo, bei za blackberries zikoje wadau?
BB wamepost hasara kubwa sana kwa hiyo sidhani kama hizoo simu zina mashiko tena
Over 4.4 bn US dollar loss kwa quarter ya tatu mwaka huu.
Kazi kweli kweli