1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 10,133
- 14,224
Burudani kabisaNimeshauri tu kwa nia njema na sijasema pesa haipo, zingatia neno uchumi wa kati.
Hizi gari na hawa mafundi wetu unawezakujikuta unawajua mafundi wote Sar na bado gari inasumbua.
Hapo umeshapoteza pesa ya kununua gari nyingine. Toyota hata kama dashboard imetapakaa alerts ila bado itakusogeza mahali unaenda, hizi gari kabila nyingine uvumilivu huo hazina, umeme mwingi na sensor za kutosha, hapo haujagusa bei ya spare.
Uko salama lakini?