Nataka kumuacha mke wangu

Nataka kumuacha mke wangu

Asante kwa muda wako,
Naweza kupotezea lkn ntakua najenga familia iliyojitenga na nyingine (ambayo siipendi) maana hakuna ndugu watakao mpenda na kumthamini huyo mwanamke kwa kumdhalilisha mama yao
Mkuu sikudhamini kwa mwingine (ke) Sampuli hiyo ipo asilimia kubwa!!
Ugomvi wa mama usiwahusu wandugu!! Japo mzazi ana haki ...Lakini binti wa watu ana haki pia!!
Utu uheshimike hapo!!
 
Mke akiwa mjazito yapo mambo hujitokeza ambayo hayaepukiki lkn huyaacha baada ya kujifungua. Mamaako kwa kuyajua hayo ndio maana hakulalamika. Lakini kama baada ya kujifungua ukosefu wa nidhamu utaendelea utaweza chukua hatua zaidi. Usikimbilie kuacha tu maana dunia imejaa wanaadamu wenye mapungufu mengi. Mume hujaribu kwanza kurekebisha kwa njia mbalimbali na talaka huwa mwisho.
 
yaani wewe kaka nna mengi ya kukuambia coz na mm ni.mama wa 2kids na ni muathirika wa kukosa mapenzi ys baba naona uchungu tu huyo mtt sijui nianzie wapi
 
Wanajamvi, ni kama wiki tatu hivi tumebahatika kupata mtoto wa kwanza lkn kabla wife hajajifungua nilimpeleka kwa mama yangu kwaajili ya huduma baada ya kujifungua, ndo ilikua mara yake ya kwanza kwenda kuishi na mama mkwe, cha ajabu kwa kipindi chote alichokaa nae ameonesha utovu wa nidhamu mkubwa (japo mama haja lalamika wala kusema chochote mengi nimejionea mwenyewe maana nilikuwepo). Nikisema kuandika kila kitu naweza jaza zaidi ya page 2 maana show imeanza kitambo kidogo.

Hivyo nimedhamilia kuachananae muda tu atakapo pata nguvu. Hivyo wanaojua sheria za ndoa na jamii naomba mnijuze ni sheria gani inaweza kunibana ktk hayo maamuzi yangu.
Naomba kurudia tena NIMESHAFANYA MAAMUZI MWENYEWE sihitaji ushauri kwa hilo isipokua utaratibu wa kisheria tu

Asante nawasilisha tafadhali.

huu ni ujinga, ushamba na ufala... ndoa yako, mke wako, mama yako, maamuzi yako... sasa humu unaleta ya nini??

You are embarrassing yourself and your family

SHFM:A S 13::A S 13:
 
Kwanza nimefatilia sn maiibu ysko tangu mwanzo ninahs una mtu mwingine tsyari na uumfeel hata kidogo mwanao..unatuzuga tu lkn huo ndo ukweli lkn nnachoweza kukuambia kaa na mkeo mpe Grace period uone tofauti ys tabia zake wkt hakuwa mama na kipindi hiki anachoitwa.mama siamn km ni mdomo.mchafu atakuwa nao wkt anamlea mwanae atamfundisha nn matusi? NAA lazma atabadilika..pia ww sio mkamilifu huyu dada haez kurupuka tu aka miss behave bila sabb ni kwa vile tunakusikiza ww tu inawezekana tungesikia upande wake tungezimia ..ila yote kwa yote tuliza kichwa usikie utamu wa kuitwa baba..usikaribishe maswali kutoka kwa mwanao baadae atakapolelewa na baba/ mama wa kambo akateseka atakuukiza ""Baba kwann umenleta duniani nteseke?" kuteswa sio kukosa chakula tu bali hata udhalikishwaji wa jinsia kwa baba wa kambo n.k pia usisikilize sana ndg amua mwenyewe km mlivyozoana huko mtaan mkatangaza ndoa...
am sure huyo dada sio mbaya kwa kila kitu kuna mazuri yake yalokushawishi umuweke ndani THINK TWICE..
 
naona unafanya maskhara na uzazi eeh. Mimba na uzazi ni kitu kikubwa. vinakuja na hormones kubadilika badilika na usipoangalia zina-create long term problems. hapo mkeo anahitaji support ya kisaikolojia, emotional, etc. tatizo mijianaume ya kibongo haitaki kujielimisha na mambo haya. MSAIDIE MKEO ACHA KUBWABWAJA!

Very well said, baadhi yao huwa na kazi ya kuranda randa mitaani na totoz.. Badala ya kutambua changamoto anazokutana nazo mama na kumsaidia.

Alafu akizaliwa mtoto.. Ni show off mtaani. Non sense
 
Wanajamvi, ni kama wiki tatu hivi tumebahatika kupata mtoto wa kwanza lkn kabla wife hajajifungua nilimpeleka kwa mama yangu kwaajili ya huduma baada ya kujifungua, ndo ilikua mara yake ya kwanza kwenda kuishi na mama mkwe, cha ajabu kwa kipindi chote alichokaa nae ameonesha utovu wa nidhamu mkubwa (japo mama haja lalamika wala kusema chochote mengi nimejionea mwenyewe maana nilikuwepo). Nikisema kuandika kila kitu naweza jaza zaidi ya page 2 maana show imeanza kitambo kidogo.

Hivyo nimedhamilia kuachananae muda tu atakapo pata nguvu. Hivyo wanaojua sheria za ndoa na jamii naomba mnijuze ni sheria gani inaweza kunibana ktk hayo maamuzi yangu.
Naomba kurudia tena NIMESHAFANYA MAAMUZI MWENYEWE sihitaji ushauri kwa hilo isipokua utaratibu wa kisheria tu

Asante nawasilisha tafadhali.

No comment, napita tu!
 
Mnawahalibu watoto wa wenzenu kwa kuwazalisha then mnawatafutia sababu za kuwaacha c vyema hata kidogo, hebu fikiria kama huyo dada angekua ni mdogo wako anataka fanyiwa kitu kama hicho ungejisikiaje? Wanaume wawe na huruma some times wanawake nao ni binadamu wenye miili na roho. Mmmh ni sheedaaah
 
We acha tu. Kwa uchunguzi wangu ikatokea unakwenda kaa ukwen kwa muda kidogo iwe ni kujifungua au la kama hujafunga ndoa na huyo bwana asilimia ni chache mno za kuharalishiwa ndoa cjui kinatokeaga nn jamani. Ndio yanamkuta ss bibie huyo na lazima atatoka hapo tu c unajua upendo wa mam kwa vijana wao
 
Tatizo kubwa hapo si hayo matatizo uliyoeleza ila:-

1. Mmegombana muda mrefu naye kama unavyoeleza sasa unachofanya hapa ni kutafuta njia ya kumwacha. Kama tabia hizi uliziona tangu nyuma ulishindwa nini kumwacha?

2. Umeshindwa kueleza sababu za kumwacha unazisema generally tu kwasababu ni za kipumbavu mno ambazo mwanaume hawezi kuzitumia kumwacha mwanamke. Una mambo ya nyuma.

3. Umekuwa ukiishi na.mke wako kama.mharifu, unamjumlishia makosa yake na kumuwazia mabaya kila wakati kwa sababu alikukosea.

4. Mawasiliano ni tatizo kubwa ambalo wanandoa wengi wlinawatesa. Ndoa huwa ni mawasiliano tu, yakiharibika hapo basi.


Kuacha mke kamwe hakuwezi kukupa amani unayoitaka, bali kilio cha huyo mtu na maisha atakayoishi mtoto ni laana tosha maishani mwako. NAKUSHAURI HAYA:

1. Wanawake wengi wanaishi na.mapepo hasa yale yanaitwa pepo mume, anakuwa ameolewa na.pepo mara nyingi huwa wanamatusi sana lengo uchukie umwache pepo liendelee kumiliki, lakini naturally si yeye kabisa.
Mpeni huduma ya maombezi.

2. Mfundishe njia njema kwa vitendo na uwe na mpango mkakati wa kumbadilisha bila.yeye kujua.

Natamani sana siku moja nioe, nimefundishwa sana mambo ya ndoa nitajitahidi sana kuiishi ndoa yangu.
 
Wanajamvi, ni kama wiki tatu hivi tumebahatika kupata mtoto wa kwanza lkn kabla wife hajajifungua nilimpeleka kwa mama yangu kwaajili ya huduma baada ya kujifungua, ndo ilikua mara yake ya kwanza kwenda kuishi na mama mkwe, cha ajabu kwa kipindi chote alichokaa nae ameonesha utovu wa nidhamu mkubwa (japo mama haja lalamika wala kusema chochote mengi nimejionea mwenyewe maana nilikuwepo). Nikisema kuandika kila kitu naweza jaza zaidi ya page 2 maana show imeanza kitambo kidogo.

Hivyo nimedhamilia kuachananae muda tu atakapo pata nguvu. Hivyo wanaojua sheria za ndoa na jamii naomba mnijuze ni sheria gani inaweza kunibana ktk hayo maamuzi yangu.
Naomba kurudia tena NIMESHAFANYA MAAMUZI MWENYEWE sihitaji ushauri kwa hilo isipokua utaratibu wa kisheria tu

Asante nawasilisha tafadhali.
Ndugu Fedora!
Kila Jambo ni wakati!
Wakati wa tukio na wakati wa onyo ulilolitoa hadi kupelekea Mke kukujibu jeuri Haukuwa wakati sahihi!
Kwanza mwili wa mwanamke anapokuwa mjamzito na baada ya kujifungua kunakuwa na mabadiliko ya kibailojia ambayo hupelekea mabadiliko ya homoni.
Zingatia Mkeo amejifungua mtoto wa kwanza ambapo kwenye tafiti na hospitali nyingi imedhihirika kwamba wanawake wanaojifungua mara ya kwanza ni rahisi kupata aina ya mfadhaiko wa kiakili unaoitwa mtoto bluu(Babies Blue) ambayo ni kawaida na huchukua siku chache na hali ya mzazi kuimarika ,Lakini kuna wazazi wanaopata hali ya huzuni ya kujifungua(Postnatal Depression) na hujisikia wenye huzuni,kuchoka na mabadiliko ya kiakili na kuna wengine wanaoishia kupata mtindio wa kiakili baada ya kujifungua(Puerperal Psychosis)uliosababisha na mabadiliko ya kibaiolojia baada ya kujifungua.
Wanawake wakiwa ktk hali hii wanapambana kurudia hali yao ya kawaida lkn wanashidwa wanakuwa na huzuni,kuchoka,hasira na na hata kuwa kama kichaa na watu wa karibu wanaweza ona ni jeuri iliyopitiliza tu.
Nakuomba tafuta wakati wa kumpeleka Mkeo kwa Daktari wakamchunguze badala ya kufikiria talaka ndiyo suluhisho.Sisi wanaume tungebebeshwa mimba miezi mitatu nafikiri tungeona adha wanazopitia Mama zetu,dada zetu,wake zetu na wanawake wote na kuheshimu wake zetu wanaochukua jukumu hilo gumu na kutupa faraja kwa kuitwa baba na mzazi. Halafu kingine unapaswa kuelewa mkeo yuko ktk mazingira mapya vile vile ukweni na wewe unatakiwa uwe kiungo muhimu baina ya mkeo na mama yako,sio tena umeenda kwa mama basi mama anachukua madaraka ya kukuongoza wewe na mkeo,unatakiwa usimame na mkeo ili asijisikie mpweke ukweni na uwe kiunganishi kati familia yako mpya na ya asili.Tafuta wakati sahihi kaa na mkeo baada ya kujua kiini hasa cha tatizo na wewe na mkeo mumuombe mama msamaha hata kama yaliyotokea yalisababishwa na ugonjwa,Jukumu la kuomba msamaha kwa mama ni lenu wote na usijitenge ukajiona si kosa lako.Huyo ni mkeo na wewe ndiye uliyempeleka kwa mama yako na natumai wazazi ni waelewa na watasamehe!Nawaombea Kila la kheri na Mwenyezi Mungu awaongoze,Amen!
Swali la haraka kwanini ulingojea mpaka mkeo awe ktk siku za mwisho za kujifungua ndiyo umpeleke kwenu?Je tangu mmekuwa wana ndoa au wachumba ni mara ngapi ulimpeleka kwenu?
 
kazi ndio kipimo cha utu umedadavua vzur sana hii kitu nilitamani nimwambie yotee haya lkn nilikosa maneno na kuhis thread itakuwa ndefu sana kama ni wa kusikia atasikia km si wa kusikia basi tena kateketeza familia kwa mikono yake alone... Fedora peuperal psychosis ni mbaya mnooo mm nipo ktk medical proffession nikiwa kazin siku moja mama alipatwa na hiyo condition akitaka kumnyonga mwanae kuja kufatilia ni depression ilosababishwa na mume be careful again km unampenda mwanao na unataka awe mwenye afya usimdisturb mkeo utashangaa kitakachotokea.. kwanza hatoweza kumnyonyesha huyo mtoto ipasavyo coz mentally yupo disturbed.. mtt atadhoofika..mama akipata kichaa cha uzazi sijui utafanyaje..narudia tena kama umepata mwanamke mwingine unayeona ni bora na kufanya hayo mamuzi unayotaka kufanya UMEUA MTOTO NA FAMILIA YAKO ndo maana ktkt former post yangu nilikuambia Humfeel huyo mtoto.yaani nikiangalia wababa wengine wanavyopendaga firstborns wao hafu ww unafanya hvyo AISEE HUNA BAHATI NA HUYO MTTBHANA BAHATI..ASANTE NAJIVUNIA KUWA NA MUME MWEMA LOOH
 
Last edited by a moderator:
Labda tujue umri wenu...ndoa yenu ina miaka mingapi? Na ni ndoa ya kikristu/kiislam/serikali? From there tutajua..ila wewe kaka sikujui watu wengi wamekusihi sn usimwache mkeo hasa hicho kichanga kisicho na hatia utakuja kuikumbuka hizi thread siku si nyingi..wise up meen
 
Mtu mbinafsi hivi mjivuni kiasi hiki unawezaje kuishi nae bila kumuonyesha ur worst side??
Kwendra na kiburi chako cha kuwa mume!!
Kwanini unaamini mkimuoa mwanamke ni kwa manufaa yake like ile umrescue hiv kumbe in the real sense ni yeye ndiye anayekusaidia wewe!!
 
BAdo hujaamua kumuacha maana bado unafanya risk assessment ya maamuzi yako,ungekua una nia ya kumuacha kweli wala usingekuja hapakuuliza,maana yake ni kwamba bado hujajiandaa na matokeo ya maamuzi yako.

Bado hauko tayari kuface consequences za maamuzi yako.Ungekua tayari ungekua umemuacha siku nyingi sana bila kujali itakuaje,hujaamua wewe mwenyewe,umeshinikizwa na wazazi au ndugu,ungeamua mwenyewe wala usingehitaji kuuliza sheria inasemaje.

Jipange.
 
asante kwa ushauri wako lakini nilimpeleka kwetu baada ya wazazi wake kunikatalia kwa kusema mila haziruhusu. Pia ujinga alioufanya huko hata kwangu alishafanya na nikamkataza lkn hakusikia

hapa hutapata majibu sahihi maana hujaeleza hata ujinga alioufanya watu wakachambua.
 
Back
Top Bottom