Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,828
- 1,715
mwenzangu kama amezidi bwaga manyanga......wote tuna tabia mbaya ila wengine ni extreme....anayway mie nakubaliana na huyo aliesema mkae ndugu wa pande zote mbili mtafute suluhu ikishindikana ndio muachane,ila umetuambia udhaifu wa mkeo, wa mama yako unaujua??? au ndio unakuwa loyal hata kama unajua kabisaa mama yako ndie chanzo hapa?:lol::lol::lol::lol: