Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Wabongo wakarim sana, watakulea tu lakini kazi za nyumbani kama kupara samaki na kupara miwa shurti utazifanya.
Akitaka chakula, inshallah atapakuliwa.
Shida zake za nyuma, yakhe atatatuliwa...