Nataka nilelewe, kulea nimechoka
Jamani nimechoka kulea na mm nataka kulelewa. Karibuni
Ushampata wa kukulea, mwanaume mwenzio nimejitolea. We onesha utayari tu, hata Prado tapata...
Ushampata wa kukulea, mwanaume mwenzio nimejitolea. We onesha utayari tu, hata Prado tapata...
hahahaaahah toooooooooooooobaaaaa kwikwikwikwi
Mi dume la mbegu
We BT yaani unaona kabisa mtu anatengenezewa mazingira ya kika'meruni we unachekelea inahusu ?
hayo mambo huwa yanaanza hivo hivo taratibu...
Hahahahaaa......
Uliona wapi dume la mbegu likalelewa??
Hahahahaaa......
Uliona wapi dume la mbegu likalelewa??