Nataka kulea mwanaume, awe wangu pekee yangu

Nataka kulea mwanaume, awe wangu pekee yangu

@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.

wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana

Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.

Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN

nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti

nipo tayari umri 30 kipato 380,000 kwa mwezi vipi
 
Tuwasiliane mama nitatulia kweli nakuaidi 0716830480 au email yangu ni diccky4@ovi.com
 
yaani mimi naona ukimlea ndio mbaya zaidi, ebu fikiria mtu anayepewa kila kitu unadhani kinachofuata kitakuwa nini? ukienda tu kazini imekula kwako hata jisumbua hata kukodi guest house, atatumia hicho hicho kitanda chako na shuka utafua wewe na chakula cha kufanya hiyo shughuli utatoa wewe. bado sijaona kama hiyo ni njia sahihi.
 
Aisee i don thint and not sore wether u will the guy like that gal nakushuri umuombe mungu akuongoze katika kutafuta mume wako coz he is there for u! Don give up dada!
 
Ungekuwa nayo net kubwa zaidi ningekufikiria. Kwa hiyo endelea kuwatafuta wamasia tu.
 
Ww mama usiangake sana karibu kwngu nitakupa penzi la kwel nitafute.sina gala na mm pia naitaji mapenzi ya kwel kutoka kwako namba yang ya simu 0756444678
 
Kama kwel unaitaji mapenzi ya kwel nititafute mm naishi dar tukikutana tutaongea zaidi.namba yngu ni 0756444678 muda wwt nipingie tutaongea
 
hii thread iko hot sana. na pia kwa maisha yalivyopanda hiyo net salary ni ndogo sana.
 
Poleni sana dada kwa kutendwa vibaya mungu atakulipia kwa kupa mwanaume mwaminifu wa maisha yako.siyo kweli kuwa huwezi kupata mme wapeke yako, wanaume waaminifu wapo wengi tu ila nikumwomba mungu akupe hekima na maarifa ya kumchagua mwanaume mwenye busara na hekima ya uaminifu .
Unapo chagua mchumba wakukuoa fuata sheria zote cha kuchagua mchumba mwenye hekima na upendo wakweli wakuingia katika ndoa. kigezo cha kwanza kabisa angalia tabia yake iwenzuri yenye maadili mazuri, cha pili awenaupendo wakweli kutoka moyoni, cha tatu sehemu unayokutana kwa mara ya kwanza iwesehemu yenye madili kama kanisana au msikitini isiwe baa au club, cha nne asiwe mzinzi na mpenda ngono kupindukia , cha tano aweanamjua mungu na anahofu ya mungu, cha sita awenaheshima, cha saba aweamekoma kiakiri , cha nane awenaelimu ya kujitambua yeye ni nani na nini wajibu wake, cha tisa awenimpenda maendeleo na mchapa kazi na kumi awemwaminifu . mwanaume huyo hupo kwani hata mimi niko kwenye ndoa kwa miaka kumi na tatu , ninauwezo sana kipesa lakini ni mwaminifu kwa mke wangu sijawahi kuwa na nyumba ndogo .

usichague mme kwa kutumia vigezo vya elimu, pesa, usharobaro, umaarufu wa mme,uhansome,ubishoo, uwenzo wakufanya ngono,muonekano,cheo , gari, kabila, rangi,umasikini, pesa n.k hivi vitu havina nafasi katika mapenzi ya kweli lakini kwa bahati mbaya wanawake wengi siku hizi wanachagua mwanaume kwa kutumia vigezo hivi ndiyo maana hawapati wanaume waliotulia na waminifu katika ndoa. unaweza ukamlea lakini bado akawa siyo mwaminifu kwani wanaume wanaolelewa maranyingi huwa malaya sana kwa wanawake wengine, wewe ukimpa pesa yeye anaenda kuhonga . fuata sheria za kupata mchumba bora na mwaminifu utampata wa kwako pekee yako.
 
nipo ila sina hata chembe ya amani

Marytina pole sana kwa kuumizwa moyo wako, kwa kusema kupata mume/mwanaume wako peke yako kwa dunia ya sasa hamna kabisa ila muombe Mungu akupe mwanaume anayekupenda wewe na kukujali ili muweze kuwa mke na mume, Pia nakuomba sana usiwe juu ya mwanaume kwa kipato, usijionyeshe wewe unaweza, unauwezo wa kipesa, watakukimbia sana, jishuhse nyenyekea hata kama utapata mwanaume ambaye hana kisomo wala kipato kama chako, mheshimu ,ongea naye kwa kugha laini , atakaa na atatulia nawe, maana wanaume wanapenda kuheshimiwa.
 
Martina ulishatafuta wazungu ikashindikana na sasa unatafuta legelege. Legelege wengi ni wabuya unga hebu tembelea vijiwe vyao ukachague kwa raha zako
 
Mimi nitakuwa wako peke yako ila kama utakuwa unanipa na vocha ya tigo.Laki 6 ni pesa ndogo sana mimi nitakuongeza laki ila tu unipe vocha yako ya tigo.
 
Kabla hujatafuta new brand umejiuliza huyo dada alokwibia ana nini cha ziada?coz am afraid even the next might be taken sooner or later just because of what is missing in you

If the problem is character then deal with it first
If the problem is nature then go ahead ukipata wawili niletee mmoja
 
Kama ivyo tafuta toy liwe linakuchokonoa tu then unaishi mwenyewe, vinginevyo iwe mgonjwa unatafuta wa kufa nae.
 
Back
Top Bottom