Nataka kulea mwanaume, awe wangu pekee yangu

Nataka kulea mwanaume, awe wangu pekee yangu

@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.

wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana

Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.

Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN

nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti

Tupia hapo bobcharles90@yahoo.com
 
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.

wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana

Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.

Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN

nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti

Usije ukazoa bwabwa..
 
Suluhisho muafaka ni mdori. utakuwa wako milele hadi utakapoamua kuutupa na kutafuta wa aina ingine
 
marytina upande gari za kjenge juu,uje mpaka kwa peter mshana,ukifika apo angalia kulia utamuona kijana amevaa penci na ndala,na miwani...atakuwa ndo mimi. Njoo all service shall b free,hamna cha salary.
 
Dada unawaza vyema, ila kumbuka hamna dume linaloazimwa kwa jike moja, ila kwa majike yote yatakayokuwepo karibu na kukuta dume lina afya njema basi watahudumiwa, endelea utasaidia pia wadada wengine kumpata kupitia kwako. Kumbuka nabii suleman mtu anayeaminika alikuwa na hekima kuliko wanadamu wote alikuwa na wake wangapi na masuria mangapi, nakumbuka masuria si chini ya 200. Ila ndio hivyo vitabu vinasema ndie mwenye hekima kuliko wote. Samahani najua inaumiza lakini ndio ukweli.
 
what i believe u have found your match yet, but for sure am telling u huo mpango wako ni hatari.... u can buy sex but not love.... huyo utaemnunua atakuumiza vibaya mpaka ukose hamu ya kuishi
 
marytina upande gari za kjenge juu,uje mpaka kwa peter mshana,ukifika apo angalia kulia utamuona kijana amevaa penci na ndala,na miwani...atakuwa ndo mimi. Njoo all service shall b free,hamna cha salary.

kwa hyo wewe legelege akikuchoka atakufanyaje unadhani... huyo c mtu mzuri me namfahamu
 
HAKUNAGA HIYO, wa kwako peke yako ni akiwa ndani akiacha mlango tu sio wako, ukitaka wa kwako dear we itabidi ukachongeshe tu ndo solution!
 
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.

wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana

Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.

Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN

nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti
Mimi nimetokea kukupenda wewe na je utakuwa tayari kunitafuta mimi nina miaka 22 namba zangu ni 0764588983 nitafute kupitia namba hiyo utanipata tu muda wowote.
 
binadamu bana eti mtu anasema kabisa mimi hapa legelege nitafute contact zangu hizi hapa...Bad Ass
 
binadamu bana eti mtu anasema kabisa mimi hapa legelege nitafute contact zangu hizi hapa...Bad Ass

hata mm nashangaa wanaume wazma wanajidharau kabla ya kudharauliwa!!

Advise:dada jiangalie pengne ww ndo una mapungfu ndo mana w/ume wte wanakukmbia.inawezkana unatoa pesa sn kukiko penz na ndo mana w/ume zko wakishapata hzo hela wanasepa.so zdsha mapnz na sio hela.
 
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.

wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana

Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.

Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN

nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti

Dah! kama hivyo ndivyo ulivyoamua basi umefikia kikomo cha kufikri, nashangazwa sana na hoja zako kiasi kwamba naona kama unafanya mzaha humu ndani, toka lini ukafanyia kazi hisia '' Eti unahisi kuachika'' kumbe huna uhakika kama umeachika,afu kama hivi ndivyo unavyopanga, utafute mwanaume legelege asiyekuwa msomi, kwani nani alikueleza vigezo vya mapenzi bora na makini ni elimu au kujazia misuli? kumbe hutafuti mwanaume wa kufanya naye maisha ila unatafuta mwanaume kama kifaa cha '' VIBRATOR'' kwa ajili ya kukidhi haja zako za kimapenzi tu, afu mwanaume anakupenda kwa dhati hawezi kuzuzuka na mwanamke mwingine je, mara ya mwisho lini ulitafakari kama wewe mwenyewe sio sababu ya mambo yanayokusibu?
Umekata tamaa sana na maisha kiasi kwamba umejiweka kuwa duni eti '' IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN'' kumbe wewe ndo unatafuta sio kutafutwa! au wewe sio mtanzania hujui mila na desturi zetu? toka lini wewe ndo ukatafuta mwanaume? kwa mtizamo huu tayari naona una kasoro maana sio kawaida, afu kitu kingine. Napenda nikuhakikishie kama hivyo ndivyo unavyofikiri kamwe hutakuja upate furaha ya mapenzi duniani, kaa chini tulia, usitake papara, unasema unahisi kuachika kumbe bado hujaachika sasa unataka nini? amekutamkia hakutaki? hata kama ingekuwa hivyo kwanini ukate tamaa kiasi hicho? ni vile tu sijui umri wako pengine ningeelewa kwanini unapanga mambo kama hayo.:A S 114:
 
Back
Top Bottom