Nataka kulea mwanaume, awe wangu pekee yangu

Nataka kulea mwanaume, awe wangu pekee yangu

Mary nina umri wa 45 yrs, mfupi wa kukinai, mweusi tii, uzito 50kg, bolded, mshahara Tsh.1,000,000/-, nina watoto 02 mama tofauti wote mabazazi, sina mke, msomi wa shahada ya sayansi ya uzamili (MSc) toka chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo, nimejenga kibanda cha kujihifadhi na mengine mengi mazuri.

Vp nakufaa BABE? Nijuze nichangamkie zabuni hiyo.
 
Ndg yng yaloktkea yamenikt,mm mpk nilichkua mwanaume wa miaka40 nikajua itakua suluhu la kupata faraja.apo nikiwa na miaka 20 mambo yalikua zaidi ya nilipotoka,uckrpk na zidisha maombi mungu atakupa faraja,2liza akili upate maamuzi sahihi uckrpk,na hamna mpz ktk mtandao ni uzushi2,najua unavojckia kwa wkt huu,bt 2lia uckrpk plz. nilipotoka,nachokushari
 
Kwanza, pole sana dada yangu.Ushauri wangu usiwe na mawazo ya kuwa juu ya mwenzio ktk mahusiano.
Pili, mwanaume legelege hatakufaa! Usiwe mwoga kukabiliana na matukio, Pambana na kila linalojitokezaa mbele.
Tatu, jitambue wewe ,kaa chini ubainishe mapunufu yako halafu uyafanyie kazi. Ukishajitambua amani itakuwepo.

Spoken like a true expert
 
Duh! kama VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA basi andika maumivu,haji mtoto wa kiume eti aseme ametimiza vgezo hivyo ulivyoainisha,ila kama unataka mtu atakaye kupenda na kukujali basi tambua kuwa utampata si kwa sifa uliyotaja,na pengne ndo maana wanakukimbia coz mashart ni mengi and you want to dominate them
 
Shindwa na ulegeeeeee,wanaume tupo bzy na JF...we hapo Arusha wapo wengi sana mtaani..angea nao...hapa nooo...labda watania tuu...kwa sasa kipumzishe kisijechoshwa...
 
Yote yawezekana kwa kufunga na kuomba ila usiwaze kumnunua mtu kwa pesa,kama wewe umetulia Muombe Mungu atakupa wa kufanana na wewe
 
TUNAWEZA KUNUNUANA MI NA WEWE!.... KWANI NA MIMI NIMESHAUMIZWA MPAKA NIMEKATA TAMAA YA KUOA :rolleyez:
 
uvumilivu ni muhimu sana ila wakati wa sasa unaweza pata magonjwa chukua uamuzi haraka
 
Mwanamke unayetaka kuolewa inabidi uishi maisha ambayo Adam akiamka aseme, hakika huyu ni nyama katika nyama yangu. Wala usimwamushe na kumwambia wewe hujui ni mbavu zako. Je waishije mpaka hata wanakukimbia, je wewe si lulu tena. Jitambue chukua hatua. Any way waweza anza upya laini kumbuka wa kuwa mwaminifu kwake ni Mungu tu si binadamu maana hata kuacha na utakuwa mwanamke kati wanawake na mama kati ya akina mama. Ukifanya usanii basi utavuna usanii. Jicheki jirekebishe usifanye hasira yote ni maisha yako.
 
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.

wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana

Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.

Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN

nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti

eh we mtoto .. Njoo unga yupo jamaa anatafuta wa kuoa. Net yake 250,000.
 
Mtoto asiye wako mbebe akiwa amelala akimka siye wako.....................
 
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.

wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana

Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.

Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN

nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti

inaonekana unauzoefu sana wa kuumizwa katika mapenzi, inaelekea wengi walikuwa wanakupiga sana mingumi, sasa unataka legelege mtoto wa mama ambaye hawezi kukupa mingumi. Umekwama. Vidume wote siku hizi ngangali. Labda utafute shoga.
 
Back
Top Bottom