MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,008
i appreciate!!!!!!!!! ila nataka wangu peke yangu
For sure sahau. Just imagine wapo! I real life hawapo. A reflection of ur life.
i appreciate!!!!!!!!! ila nataka wangu peke yangu
For sure sahau. Just imagine wapo! I real life hawapo. A reflection of ur life.
mimi hapana manake unajisifia mtandao unatumiaHapa hapa naweza pata mchumba kati ya bebii na Marytina
sijawahi kwenda njee ya uhusiano nakuapiaFor sure sahau. Just imagine wapo! I real life hawapo. A reflection of ur life.
Dada yangu duniani hakuna amani ya kweli na kama una taka duniaani uwe na amani ya kweli kabisa mwachie Yesu maisha yako, nakuhakikishia kabisa hauta pata shida hata kidogo, utampata aliyeamua kuachana na wamasai na wa rangi akamuachia Yesu maisha yake anaburudika kwa Yesu, akikupata wewe basi maisha yatakuwa burudani, lkn usitumie pesa yako kama siraha ya kumpata mwanaume atakae kufaa, kwani mume mwema atoka kwa bwana na mke mwema pia ataka Mbinguni kwa baba,@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.
wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana
Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.
Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN
nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti
Pole kwa yaliokukuta. Humu JF wote hawajachoka maana wanamudu mambo mengi. Na ukimpata humu ukue atakusumbua kwa kua atakua akiingia lile jukwaa la MMU.@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.<br />
<br />
wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana<br />
<br />
Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.<br />
<br />
Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN<br />
<br />
nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka<br />
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti
Haya Mwanakwetu!@arusha,baba mngoni, mama mchagga.
Wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana
nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni america naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.
Nahisi kuachika na nawaza hivii: Ikiwa ntaachika ntatafuta man asiyemsomi,not handsome, mwenye robo ya kipato changu,aliyevusha umri wa kuoa, ethnical man
nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini arusha awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti
Kweli watanzania bado sana. 630,000/= ni kipato cha kujisifu kweli?.
630,000/30= 21,000 kwa siku.
21,000/60= 3000 kwa saa.
Kipato chako kinakutosha kununua vipodozi vyako tu. Pole kwa mawazo mgando kama hayo.
Msome kinyumenyume utamuelewa.sijawahi kwenda njee ya uhusiano nakuapia
Wapo kibao kitaaMh, we mdada, sijui kama ni mdada kweli au zuga tu??!!! Nadhani hauko serious. Hivi unawezaje kusema mambo kama hayo kuwa unataka mwanaume legelege na utakayemdhibiti halafu utegemee aje kweli. Hakuna mwanaume anayependa kudhibitiwa. Hilo sahau. Sanasana atakuja mtu atakupiga ngozi atasepa. Pole