WAKUNJOMBE
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 633
- 678
nenda zanzibar.......wapo wakumwaga au Tanga
<br />@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.<br />
<br />
wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana<br />
<br />
Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.<br />
<br />
Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN<br />
<br />
nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka<br />
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.
wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana
Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.
Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN
nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.
wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana
Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.
Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN
nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti
Marytina, pole sana kwa kuumizwa ila usjali yawezekana ukawa uko darasani unajifunza quality za mwanaume anayestaili kuwa mume.
Usishangae sana kuona umemwagwa na watatu, ukajisusa. Say BIG NO. kamwe usijisuse, wewe ni mtoto wa kike, binti mzuri tena unaweza kujitafutia maisha. usilogwe ukasema unatafuta mwanaume mtoto wa mama, atakusumbua sana. Iko hivi wewe umesahau kuwa heri kumfhili mbuzi mwanadamu hutomuweza? huyo naye itafika siku atataka awe juu yako tu. Kwani anaweza akakwambia mafano sijiskii kufanya tendo la ndoa mezi miwili inapita jeutamlazimisha? au ndo utamtoa nje na nguo zake aende kwao?
binafsi mimi nilikuwa napenda kuolewa na mwanaume ambaye ni gentleman ambaye akisema sauti yake huwa ni moja tu, na lazima isikiwe kuwa baba kasema. ianpendeza mume awe ni wanaume anayejua wajibu wake, anayeweza kukaripia, mahali panapohitaji kukaripiwa na anayeweza kuonya panapo stahili kuonya. sipend mwanaume wa kumwaga misifa tu ukikosea in real hawezi akatoa tamko kama baba, ambaye sauti yake ndani ya nyumba hata mtoto haiogopi. Huyu huwa ni mzigo sana kwako mama kwani siku zote utakuwa ni mtu wa kuwajuu kuliko baba, kiasi kwamba hata ukisema kitu mbele ya wanawake wenzio kinaonekana hakina mantiki.
kwa kiwango cha net salary yako tafuta wanaume ambaye atakupa challenge za maisha, ambaye mtaweza kuendelea, ambaye hawi chini ya mamlaka yako bali wewe uwe chini ya mamlaka yake.Lets be realistic a man is a man.
mwanamke unatakiwa uwe pole wenye busara nahekima ya kumpenda mume hata watu wengine, mwenye maaarifa ya kumshauri mume. Kumbuka mwanaume yeyote anayeonekana anaongea point mbele za watu wengi wao hayo maujanja wanayapata kwa wake zao, lke wise wanawake pia.
usipende tabia za moshi na arusha za wanamke kuwa mbabe, kisa ana hela manake kama hela ilikuwa na thamani sana kwanini huiambia ikuoe? lazima bwana uwe na madaha ya kidada, akikuboa mmoja jua siyo wote, tulia jipange upya ili upate mwanaume wingine mzuri.
ushauri, give yourself a break. kisha angalia katika folder zako kati ya walio sign in yupi anameet criteria zako? na je anafuture? kuijua future inategemea na criteria zako ulizo kuwa umepanga. anaye meet asilimia kubwa bai huyo can make a good husband