Nataka kujenga, nina laki 5 mkononi

Nataka kujenga, nina laki 5 mkononi

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,845
Reaction score
4,775
Nimenunua tofali 400 nimebakiwa na laki 5 natafuta mtu mwenye akili nyingi aniambie jinsi ntakavyokamilisha hata chumba kimoja na kuhamia ikibidi kabaki kachenchi hata elfu 5.
Pia nina mifuko 10 ya cement na mchanga wakutosha Karibuni
 
tafuta fundi njaa mwenye kuweza ujenzi mmoja tu nawe unakua msaidizi wake chimba nae msingi wa chumba kimoja na sebule au kuuchimba hata peke ako unaweza kupunguza gharma, kama eneo ni la mfinyazi itapunguza gharma ya msingi bado kokoto bado nondo kadhaa isikupe tabu unaenda hardwea ya karibu unannunua zile za kupima ktk viroba siwezi wwka bei kwa maana sina uzoefu wa bei mpka msingi unaisha na layer ya zege na coz moja pande kadhaa a utakua umebaki na nauli tu na tofali kumi pembeni kajivute tena
ukirudiii njoo na tofali walau mia sita njoo na katipa ka mchanga kama visiment vilibaki aya Kumbuka usiangaikie choo kama msela ukitoka zako baa ukakunyaz uko uko unaoga utakapo pajua wewe tofaut na hapo unachimba ka shimo wewe peke ako u akazungushia mabati usid cha tempo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimenunua tofali 400 nimebakiwa na laki 5 natafuta mtu mwenye akili nyingi aniambie jinsi ntakavyokamilisha hata chumba kimoja na kuhamia ikibidi kabaki kachenchi hata elfu 5.
Pia nina mifuko 10 ya cement na mchanga wakutosha Karibuni
Hiyo laki tano unaweza kujenga Mbezi beach mkuu. Nyumba kubwa yenye mpaka Swiming pool na change ukanunua boat la kuvulia samaki nadhani limefika laki na nusu.
 
Unaweza kujenga kwa hio hela chamsingi nunua bati 15 za kuezeka alafu tafuta fundi mmoja njaa na ww uwe saidia fundi mkuu laki 5 nyingi hio na material unayo mbona fasta tuu..

KAMA UKISHINDWA
nunua mabati yale reject moja ni elfu 9 nadhani unaweza nunua hata mabati 30 kwa laki 270 alafu nyingine laki 2 na 30 nunua mbao 20 za 2*2 moja inauzwa 3500 kwa elfu 70 then tafuta fundi kwa elfu 50 anakukarabatia kibanda hicho utabakiwa na chenji laki na nusu utaongezea ongezea hapo kitakachopelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom