stevhinoz
JF-Expert Member
- Jun 15, 2021
- 228
- 488
Nimewaza kutafuta biashara nitayopata faida sh 2000 kwa kila item. Nimepiga hesabu nitatengeneza million na zaidi kwa mwezi.
Hesabu ipo hivi, niweze kuuza bidhaa 500 ndani ya mwezi, nipate shilingi 2,000 faida kwa kila bidhaa. Kwa siku niuze bidhaa 20 na kila bidhaa niuze kwa faida ya Tsh 2000.
Location maeneo yaliyochangamka haswa kwenye junctions kama Mbagala, Mbezi Kimara, Tegeta, Gongolamboto.
Goli liwe kati ya laki 2 hadi laki 2.5. Sasa hapa naumiza kichwa ni bidhaaa ipi naweza zungusha ikakubaliana na hesabu zangu.
Naomba tupeane mawazo wadau ni bidhaa ipi yoyote naweza iuza inayozunguka fasta na ina faida ya buku 2 kwa kila item.
Hesabu ipo hivi, niweze kuuza bidhaa 500 ndani ya mwezi, nipate shilingi 2,000 faida kwa kila bidhaa. Kwa siku niuze bidhaa 20 na kila bidhaa niuze kwa faida ya Tsh 2000.
Location maeneo yaliyochangamka haswa kwenye junctions kama Mbagala, Mbezi Kimara, Tegeta, Gongolamboto.
Goli liwe kati ya laki 2 hadi laki 2.5. Sasa hapa naumiza kichwa ni bidhaaa ipi naweza zungusha ikakubaliana na hesabu zangu.
Naomba tupeane mawazo wadau ni bidhaa ipi yoyote naweza iuza inayozunguka fasta na ina faida ya buku 2 kwa kila item.