Akili Pesa
JF-Expert Member
- Jun 18, 2014
- 616
- 854
Jamani habari za humu ndani? Naamin mpo vizuri.
Sasa naomba mnishauri mm ni kijana nina umri wa miaka isyopungua 30 ninampango wa mwakani kuoa kwa maana ya kufunga ndoa, tatzo langu ni dogo sana nashindwa kujua nianzie wapi kujipanga ili lengo langu litimie kwa mwakani miezi kama hii niwe nimemuoa tayari mchumba angu.
Asnten sana Naomba mnishauri kwa uaminifu sana ili nipate mawazo mazuri.
Sasa naomba mnishauri mm ni kijana nina umri wa miaka isyopungua 30 ninampango wa mwakani kuoa kwa maana ya kufunga ndoa, tatzo langu ni dogo sana nashindwa kujua nianzie wapi kujipanga ili lengo langu litimie kwa mwakani miezi kama hii niwe nimemuoa tayari mchumba angu.
Asnten sana Naomba mnishauri kwa uaminifu sana ili nipate mawazo mazuri.