Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 1,053
- 2,423
Habarini ndugu zangu.
Katika kuujali mwili wangu nataka nifanye check up ya mwili mzima kuanzia kichwani mpaka miguunii nijue maendeleo na afya ya viungo vyangu vya ndani.
Ni hospital gani naweza pata hii huduma na pia Kwa aliyefanya atupe experience hua inakuaje.
Je, kuna madhara yoyote I mean side effects zake?
Katika kuujali mwili wangu nataka nifanye check up ya mwili mzima kuanzia kichwani mpaka miguunii nijue maendeleo na afya ya viungo vyangu vya ndani.
Ni hospital gani naweza pata hii huduma na pia Kwa aliyefanya atupe experience hua inakuaje.
Je, kuna madhara yoyote I mean side effects zake?