kibenten
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 499
- 507
habarini!
naomba kufahamishwa kama kuna madhara yoyote ukiwa unatumia dawa ya kienyeji ukawa mda huo pia unatumia na dawa za hospital kutibu ugonjwa huohuo??
mfano mi natibu UTI kwa saiv nimeanza kutumia dawa ya kienyeji jana lkn nataka nimeze na AZUMA.
JE kuna madhara hapo??
naomba kufahamishwa kama kuna madhara yoyote ukiwa unatumia dawa ya kienyeji ukawa mda huo pia unatumia na dawa za hospital kutibu ugonjwa huohuo??
mfano mi natibu UTI kwa saiv nimeanza kutumia dawa ya kienyeji jana lkn nataka nimeze na AZUMA.
JE kuna madhara hapo??