mnyikungu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2009
- 1,960
- 2,464
Nashukuru mkuu, hiyo plan ya palachichi nataka nianze mwaka huu nina eneo wilaya ya mufindi nimeambiwa inafaa. Kwahiyo haya maarifa uliyomwaga hapa nitayatumia pia kwa parachichi. Asante sanaHABARI,
"mnyikungu,
Sawa hongera sana Tena kwa Iringa mna fulsa nyingine ambayo maeneo mengi hakuna fulsa ya kilimo cha parachichi kwenye wilaya ya kilolo na mkoa wa Njombe nakutakia kila jema Comrade.
LUMUMBA