Hajasema anaacha kazi ili akakae nyumbani kwake bila kazi, nilivyomwelewa mimi ni kwamba, anabadirisha kazi, nijuavyo mimi, kazi anayokwenda kuifanya ni ngumu zaidi na inahitaji kujituma zaidi na tija yake ni kubwa, kazi ya sasa anayofanya, anajituma kwa kiwango cha kumridhisha bosi wake,ni ngumu kwa sababu inamnyima uhuru na tija yake kwake ni ndogo, kibaya zaidi umri unakwenda.
Kwa ufupi ni kwamba, mafanikio ya kazi anayofanya kwa sasa ni mali ya mtu mwingine, yy huambulia bonus. Mafanikio ya kazi anayokwenda kuifanya ni yake yeye kama yeye, na kinyume chake ni sahihi. Kajipima kaona bora akajitume.
You have nailed it!