House of Commons
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 2,189
- 2,206
- Thread starter
- #81
badiebey il ufanikiwe ni lazima uchague moja, na Kuchoma Meli moto kuna maanisha huna paln B wala C bali una plan A tu, Wagiriki walichoma Meli zao moto ili wabakie na plan A tu ya kushinda Vita, Hivyo katika safari ya Ujasirimali ni lazima uwe na only one plan, namanisha, Plan A iwe ni ujasirimali, Plan B iwe ni ujasirimali pia na hivyo hivyo plan C, Ila plan A ikiwa ujasiriamali na plan B ikawa ni kazi ya kuajiriwa hutaweza kufanikiwa.
Unacho takiwa kufanya ni just kusonga mbele na unacho kifanya, usiingie kwenye ujasirimali ukiwa na roho ya kusita sita, no wewe ingia na pambana bila kumuonea yoyote aibu,
Very nice sharing bro, noted and learnt well