Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,898
Go on! Usiangalie nyuma.
Unafikiria mtaji wa mil 300? Niliacha kazi kwa mtaji wa laki 7 tena hii ni pension yangu kwa miezi saba nlofanya. Nlihustle kukuza mtaji wangu. Na sasa mambo fresh. Hakuna kitu kizuri kwangu kama kuwa na uhuru na amani katika kufanya mambo yako.
Kazi nlokuwa nafanya ni torture na kufanya kazi had jmosi ndo ilikuwa msala.
Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
Jiamini uhakika utatoka, mimi nilifanya kazi kwawaHindi miezi 8 nikaacha kazi nikaanza kampuni yangu kwamtaji walaki nane sasa mambo yamenyoka natoa ajira kwavijana wenye nguvu
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
I am glad to hear that House of CommonsAsante kwa kuniimarisha, better than awarding me tarngible materials, blessings plse
mimi mil 20 tu ,ningeacha kazi na ningekuwa mbali sana.
Umenitia moyo sana, nitathubutu, si kwa kujarib lakini kudhamilia na kusonga mbele
Wasalam wapendwa
Si kwamba nimechanganyikiwa, hapana. Naona kama nachelewa kutimiza malengo yangu na kazi niliyo nayo ni ya kuajiriwa na ofisi zake ni vijijini. Kwa miaka 10 nimekekuwa nikisafiri kutoka ninakoishi (naishi moja ya jiji hapa nchini) kwenda ofisini. Zifuatazo ni hasara na changamoto ninazoziona kwenye ajira hii
1 Nina shughuli zangu mbadala (miradi) huko jijini, kila wiki 1 au 2 lazima nione maendeleo yake, hii hunigharimu sana kifedha kiasi cha Tshs 80,000 hadi 100,000 kwa mwezi.
2 kipato changu kinachotokana na ajira si kikubwa sana ukilinganisha na shughuli binafsi nilizonazo
3. Shugughuli za ofisi zina nature ya kumlazimisha mwajiriwa kufanya kazi mchana, usiku hadi weekend (sometimes) bila overtime au incentives in turn
4 Sipendi kuhamishia familia huko kazini kwangu maana nitaongeza gharama za maisha na kupoteza dira na malengo yangu
5 Sioni kama ajira rasmi itanipa kipato thabiti kabla ya umri wangu wa uzeeni
6 Nataka kutumia Elimu yangu ya " shahada ya udhamili ya usimamizi wa miradi" kuendeleza miradi yangu binafsi
7 Naona kama utumwa fulani kuwa mwajiriwa, hii inanifanya au niwe mtoro kazini au ku Underform kazini kwangu
Kwa sasa bado naendelea, ila miradi yangu itakapokuwa na thamani ya 300mil nita resign with good will, na hili nitalifanya ndani ya miezi 18 ijayo kuanzia leo.
Just to share with you friends, you can advise otherwise, maana haya maisha nayo hubadirika, nipe uzoefu na mawazo yako tafadhari...
Noted, am warming up for quiting job
Wasalam wapendwa
Si kwamba nimechanganyikiwa, hapana. Naona kama nachelewa kutimiza malengo yangu na kazi niliyo nayo ni ya kuajiriwa na ofisi zake ni vijijini. Kwa miaka 10 nimekekuwa nikisafiri kutoka ninakoishi (naishi moja ya jiji hapa nchini) kwenda ofisini. Zifuatazo ni hasara na changamoto ninazoziona kwenye ajira hii
1 Nina shughuli zangu mbadala (miradi) huko jijini, kila wiki 1 au 2 lazima nione maendeleo yake, hii hunigharimu sana kifedha kiasi cha Tshs 80,000 hadi 100,000 kwa mwezi.
2 kipato changu kinachotokana na ajira si kikubwa sana ukilinganisha na shughuli binafsi nilizonazo
3. Shugughuli za ofisi zina nature ya kumlazimisha mwajiriwa kufanya kazi mchana, usiku hadi weekend (sometimes) bila overtime au incentives in turn
4 Sipendi kuhamishia familia huko kazini kwangu maana nitaongeza gharama za maisha na kupoteza dira na malengo yangu
5 Sioni kama ajira rasmi itanipa kipato thabiti kabla ya umri wangu wa uzeeni
6 Nataka kutumia Elimu yangu ya " shahada ya udhamili ya usimamizi wa miradi" kuendeleza miradi yangu binafsi
7 Naona kama utumwa fulani kuwa mwajiriwa, hii inanifanya au niwe mtoro kazini au ku Underform kazini kwangu
Kwa sasa bado naendelea, ila miradi yangu itakapokuwa na thamani ya 300mil nita resign with good will, na hili nitalifanya ndani ya miezi 18 ijayo kuanzia leo.
Just to share with you friends, you can advise otherwise, maana haya maisha nayo hubadirika, nipe uzoefu na mawazo yako tafadhari...
Si kazi kuacha kazi bali kazi kupata kazi, tunatafuta kazi wewe unaacha kazi,think twice,nyaka mil 500 ndo uache kazi