Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,120
- 7,912
- Thread starter
- #21
Sawa "sikufikiLI"We Unafikili wakati na quote nilikua sijasoma?
Punguza u much know wewe.
Sawa "sikufikiLI"We Unafikili wakati na quote nilikua sijasoma?
Punguza u much know wewe.
Hakikisha kila siku asbh na jioni unapanda mnazi kwa miezi 3 mfululizo lazima upate uwazi hapo kati
Naww umetamani?!nilidhani ni maumbile mtu anazaliwa nayo kumbe na mazoezi pia inakuja..
Hivi umekuja kuwaje Scorpio me tena!?Andika maelekezo hapa
Hell yeah...Kumbe hilo tobo nalo ni mambo ya fashiiiiiiiiiiiiiiiiiiiion
Usikaririduh kuna watu wakiandika vitu flani tunabaki tunashangaa tu, tushazoea akina moniccca, richaabra na amanda cute
?Hivi umekuja kuwaje Scorpio me tena!?
ngoja nisile sana langu likazibaHell yeah...
Jaman kumbe unalo...nakuonea wivu aseengoja nisile sana langu likaziba
Sante....Ingia youtube, mazoezi mengi utayaona. Ila inabidi uwe na moyo wa kufanya mazoezi na uwe committed.
Am 22 nimekomaa mkuu...Waswahili tunauita uvungu,ni mzuri kwa Afya,ya utiaji.
Ventilation 100%
Hii inatokana na maumbile,kama hujakomaa sana anza mazoezi ya msambisha,usnambe.
Jaman kumbe unalo...nakuonea wivu asee
Mkuu nielekeze hapa hapaNjoo nikupe mazoezi. Mwezi mmoja nakuhakikishia utakuwa ivyo
Wewe haupo serious.Mkuu nielekeze hapa hapa