Natafuta watu au kampuni ya kufanya Partnership ya Social Network mfano sawa na Facebook & Twitter

Mr Why

JF-Expert Member
Nov 27, 2019
1,353
2,351
Moja kwa moja kama kichwa cha habari kinavyosema ni kweli natafuta watu au kampuni ya kufanya nao Partnership ya Social Network ili tufaidike sote

Mtandao tayari umeshaundwa mfano wa Twitter na Facebook kilochobaki natafuta watu au kampuni tutakayoingia Partnership ili tusaidiane kulipa bill za kuweka mtandao huo hewani pamoja na kuufikisha kwa watumiaji

Yafuatayo ni baadhi ya manufaa atakayopata mwekezaji
Bill zote kwa mwezi pamoja na App kuwa hewani ni 800,000/= kila mwezi huku 5,000,000/= ikilipwa kwa mwaka endapo tutachagua Yearly, mwekezaji atanufaika kwa kuwa Admin pia atashirikishwa kwenye mapato yote yatakayopatikana, njia zote za mapato zitajadiliwa na kuwekwa wazi pamoja na kiasi cha mgawo kwa kila mwekezaji, pia jina lake litachapishwa katika articles zote ikiwemo Wikipedia etc

Mengi zaidi tutajadili kwa upana pale tutakapokaa mezani, chini hapa nimeambatanisha screenshot ya mwonekano wa ndani kwa mtumiaji

IMG_1588.png
IMG_1589.png
IMG_1591.png
 
Moja kwa moja kama kichwa cha habari kinavyosema ni kweli natafuta watu au kampuni ya kufanya nao Partnership ya Social Network ili tufaidike sote

Mtandao tayari umeshaundwa mfano wa Twitter na Facebook kilochobaki natafuta watu au kampuni tutakayoingia Partnership ili tusaidiane kulipa bill za kuweka mtandao huo hewani pamoja na kuufikisha kwa watumiaji

Mengi zaidi tutajadili kwa upana pale tutakapokaa mezani, chini hapa nimeambatanisha screenshot ya mwonekano wa ndani kwa mtumiaji
congrats bro
 
Moja kwa moja kama kichwa cha habari kinavyosema ni kweli natafuta watu au kampuni ya kufanya nao Partnership ya Social Network ili tufaidike sote

Mtandao tayari umeshaundwa mfano wa Twitter na Facebook kilochobaki natafuta watu au kampuni tutakayoingia Partnership ili tusaidiane kulipa bill za kuweka mtandao huo hewani pamoja na kuufikisha kwa watumiaji

Mengi zaidi tutajadili kwa upana pale tutakapokaa mezani, chini hapa nimeambatanisha screenshot ya mwonekano wa ndani kwa mtumiaji

View attachment 2999291View attachment 2999292View attachment 2999294
Gharama za kuweka app hewani ni kiasi gani na mwekezaji atafaidika na nini
 
Gharama za kuweka app hewani ni kiasi gani na mwekezaji atafaidika na nini
Bill zote kwa mwezi pamoja na App kuwa hewani ni 800,000/= kila mwezi huku 5,000,000/= ikilipwa kwa mwaka endapo tutachagua Yearly, mwekezaji atanufaika kwa kuwa Admin pia atashirikishwa kwenye mapato yote yatakayopatikana, njia zote za mapato zitajadiliwa na kuwekwa wazi pamoja na kiasi cha mgawo kwa kila mwekezaji, pia jina lake litachspishwa katika articles zote ikiwemo Wikipedia etc
 
Mkuu mi nilikuwa nakushauri ujaribu kuweka hewani ili hata ukija kutafuta wawekezaji awe anaiona hewani itakuwa ni rahisi kumshawishi mtu au mwekezaji kukubali ombi lako kwa uharaka na kukuamini..kwakuwa umeshaonyesha nia..
 
Kuendesha app ni kipengele, niliwahi kufanya partnership kama hivi, ilikuwa tuzungumze jukwaa na sikuona hata 100
Pole sana, ndio maana niliwaeleza watu hapa kuwa uwekezaji wa Social Network ni mkubwa sana hivyo waheshimu mitandao ya kijamii na hasa unapoanza taratibu za ku legalize kupitia Serikali na uanze kulipa TAX pamoja na kodi za physical address inamana lazima uwe na ofisi bill za umeme na maji pamoja na mishahara ya wafanyakazi itahusika
 
Mkuu mi nilikuwa nakushauri ujaribu kuweka hewani ili hata ukija kutafuta wawekezaji awe anaiona hewani itakuwa ni rahisi kumshawishi mtu au mwekezaji kukubali ombi lako kwa uharaka na kukuamini..kwakuwa umeshaonyesha nia..
Excellent, nitapandisha hewani usijali
 
mkuu mtandao zaidi unahusiana na nini yaani main goal ya hii kitu yako huenda baadae tukaja ku invest tukishjipata kifedhaa.🙏
Ni social network, communication, mtandao wa kijamii sawa na Facebook, Twitter, TikTok
 
Back
Top Bottom