Ajira zimekuwa ngumu sana,nahitaji vijana 10 wa jinsia tofauti tufanye kilimo cha mahindi,eneo nimeshapata ekari 50 kinachohitaji ni hao vijana 10 kwa ajili ya nguvu kazi ,kununua mbegu,mbolea na nguvu kazi.
Kwa kipindi chote tutaishi kambini mpaka kuvuna mazao yetu.
Walio tayari PM mnakaribishwa.
Kwa kipindi chote tutaishi kambini mpaka kuvuna mazao yetu.
Walio tayari PM mnakaribishwa.