MPSZX PAULO
Member
- Mar 12, 2020
- 38
- 32
Natafuta kazi ya Agronomist (mtalaam wa kilimo
Elimu yangu: Bsc. Horticulture
Uzoefu wa kazi katika kilimo Kwa miaka 3
Rubis Agri Ltd
1. Uzalishaji mahindi ekari 200 sawa na ton300 Kwa mwaka
2. Uzalishaji ndimu ekari 50
3. Uzalishaji migomba(mzuzu) ekari 50
4. Uzalishaji macadamia nuts ekari 60
5.Uzalishaji mboga mboga Kwenye nethouse 4
6.Uzalishaji Miche ya mbogamboga na matunda kwenye vitalu nyumba
7. Kulima, kupulizia dawa, kuweka mbolea, kuslash Kwa kutumia mashine za kilimo
8. Kufunga mifumo ya umwagiliaji mashambani ekari 50
9. Kuanda bajeti ya kilimo kama, mbegu , mbolea na madawa
10. Kuongeza na kutoa maelekezo Kwa wafanyakazi wa shamba zaidi ya 50
11. Kusaidia kupata masoko Kwa ajili ya mazao ya shamba
Kwa yeyote mwenye connection na fursa za nafasi za kazi za mashamba (Agronomist) kwenye makampuni ya kilimo /mashamba binafsi yanayolima kibiashara
Anicheki Kwa namba hii 0743138750
Kwa mawasiliano zaidi
Elimu yangu: Bsc. Horticulture
Uzoefu wa kazi katika kilimo Kwa miaka 3
Rubis Agri Ltd
1. Uzalishaji mahindi ekari 200 sawa na ton300 Kwa mwaka
2. Uzalishaji ndimu ekari 50
3. Uzalishaji migomba(mzuzu) ekari 50
4. Uzalishaji macadamia nuts ekari 60
5.Uzalishaji mboga mboga Kwenye nethouse 4
6.Uzalishaji Miche ya mbogamboga na matunda kwenye vitalu nyumba
7. Kulima, kupulizia dawa, kuweka mbolea, kuslash Kwa kutumia mashine za kilimo
8. Kufunga mifumo ya umwagiliaji mashambani ekari 50
9. Kuanda bajeti ya kilimo kama, mbegu , mbolea na madawa
10. Kuongeza na kutoa maelekezo Kwa wafanyakazi wa shamba zaidi ya 50
11. Kusaidia kupata masoko Kwa ajili ya mazao ya shamba
Kwa yeyote mwenye connection na fursa za nafasi za kazi za mashamba (Agronomist) kwenye makampuni ya kilimo /mashamba binafsi yanayolima kibiashara
Anicheki Kwa namba hii 0743138750
Kwa mawasiliano zaidi