dr. gracemary
Member
- Jul 7, 2011
- 32
- 6
Natafuta eneo la kukodi kwa mkataba wa miaka 2 au miaka 3. Liwe ama barabara ya morogoro road kati ya kimara hadi ubungo, ama segerea hadi tabata relini. Mwenye eneo awasiliane nami gracemary_john@yahoo.com Eneo liwe na ukubwa wa kutosha angalau 30x30 au kubwa zaidi ya hiyo