Guru Master
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 226
- 594
Nimekuwa nikifanya biashara ya kutengeneza Milango ya mbao za Mkongo toka Mkoani Tabora. Kama unahitaji wewe Binafsi au unaweza niunganisha na Makampuni ya Ujenzi naomba tuwasiliane tuongee biashara.
Mbao ni za Mkongo. Haziliwi na wadudu na Haziozi nadhani kwa wajuzi wa mbao wanazifahamu hbr yake ni zaidi ya Mninga.
Unanipa vipimo na dizaini ya mlango. Tunakubaliana naleta kwako kuanzia milango 10 na kuendelea.
Karibu.
Mbao ni za Mkongo. Haziliwi na wadudu na Haziozi nadhani kwa wajuzi wa mbao wanazifahamu hbr yake ni zaidi ya Mninga.
Unanipa vipimo na dizaini ya mlango. Tunakubaliana naleta kwako kuanzia milango 10 na kuendelea.
Karibu.