Guru Master
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 226
- 594
- Thread starter
- #21
Hili ngoja nlifanyie utafiti sijawahi safirisha to arushaMpaka Arusha inakuwa Bei gani mkuu?
Hili ngoja nlifanyie utafiti sijawahi safirisha to arushaMpaka Arusha inakuwa Bei gani mkuu?
Mninga tena sio Mkongo?Nimeweka picha. Gharama ni mlango mmoja tsh 450,000 Mbao Mninga.
Ni vizuri kuwa consistent and mkweli au kujua unazungumzia nini. Nioneshe hiyo text ambayo nimesema isiyopigwa rangi ni 300k na yenye polish ni 350k.Hizi bei za milango zikabadilika kila mara, mimi ulianiamba 300k ilisiyopigwa rangi na 350k yenye polish. Au nasema uongo ndugu yangu?