Annhaaa! Nitazingatia mkuu!Itakuwa ili ujibiwe utume na vocha kwanza. Vya bure gharam. Tuna na vocha ya 10000 uone kama haukujibiwa.
Wengi wao walaa kiepee kavuuHakuna wanaume Dar??
hahahahaaaaaaaDuh! panzi kaanguka kwenye furushi la siafu..!
Hadi anaamua kuja hapa, ujue hataki wanaume wa DarHakuna wanaume Dar??

Kama sijapoteza kumbukumbu, zinaitwa ManiiHivi sperms kwa kiswahili zinaitwaje?? Wengine mmetuacha stand ya mwendo kasi
inawezekana tabia zako sio nzuri the way unavyo vaa, pengine ni mlevi wewe, unapenda sana urembo! sisi wanaume hatuwezi kupoteza ukoo kwa watu kama ninyi msio jitambua. unataka sperm,alafu iweje? mtoto anakuwa wa mama babayake? akiri fupi izo! hata kama unasema unadegrees! zitakuwa za makalatasi tuu hakuna kitu hapo!Nimeshaumizwa sana kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana kabisa na haya mambo ila nahitaji tu kuzaa Kwa sasa mana umri ushaanza kunitupa mkono.
Naomba mwanaume aliyetayari kunizalisha ajitokeze, awe mweupe na mrefu kiasi na awe tayari kuwa karibu nami katika kipindi chote cha kulea mimba ili niwe vizuri kisaikolojia na hivyo kutomdhuru mtoto tumboni (si lazima anihudumie kifedha ila tu awe karibu nami).
Baada ya mtoto kuzaliwa ni uamuzi wake kuwa karibu na mawanae au kumpotezea, nishajiandaa kisaikolojia kuwa single mother so sitampa mzigo wowote.
Uliye tayari kunisaidia njoo pm
Kama nimemuelewa mleta mada ni kwamba hajaja kuomba ushauri, bali anahitaji ku fulfill haja ya moyo wake. Na ametanabaisha kwamba... kama hamtaki kuwaoa, na yeye ameumizwa sana tayari, pia umri umeanza kumuacha. Hivyo anaona ni bora akipata mtoto ili aweze hamishia mapenzi kwa mwanae.Ushauri ni vema ungetafute MUME wa kuzaa nae ila hapo utakuwa unazini tu na mtoto utakae mzaa atakuwa wa nje ya ndoa huoni si jambo zuri
wapo wanaume wa dar!Hakuna wanaume Dar??
HeheheheNitumie namba zako..Vigezo ninavyo..Ukifanikiwa wa kwanza utataka na mwingine 😀😀😀
inawezekana tabia zako sio nzuri the way unavyo vaa, pengine ni mlevi wewe, unapenda sana urembo! sisi wanaume hatuwezi kupoteza ukoo kwa watu kama ninyi msio jitambua. unataka sperm,alafu iweje? mtoto anakuwa wa mama babayake? akiri fupi izo! hata kama unasema unadegrees! zitakuwa za makalatasi tuu hakuna kitu hapo!