Natafuta sperm donor

Natafuta sperm donor

Dahhh..
Hii fursa ilinipita hivi hivi aiseeee.....
Yaani ilikua ni kama gari la beer limeangukia mlangoni kwangu
 
Nimeshaumizwa sana kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana kabisa na haya mambo ila nahitaji tu kuzaa Kwa sasa mana umri ushaanza kunitupa mkono.

Naomba mwanaume aliyetayari kunizalisha ajitokeze, awe mweupe na mrefu kiasi na awe tayari kuwa karibu nami katika kipindi chote cha kulea mimba ili niwe vizuri kisaikolojia na hivyo kutomdhuru mtoto tumboni (si lazima anihudumie kifedha ila tu awe karibu nami).

Baada ya mtoto kuzaliwa ni uamuzi wake kuwa karibu na mawanae au kumpotezea, nishajiandaa kisaikolojia kuwa single mother so sitampa mzigo wowote.
Uliye tayari kunisaidia njoo pm
inawezekana tabia zako sio nzuri the way unavyo vaa, pengine ni mlevi wewe, unapenda sana urembo! sisi wanaume hatuwezi kupoteza ukoo kwa watu kama ninyi msio jitambua. unataka sperm,alafu iweje? mtoto anakuwa wa mama babayake? akiri fupi izo! hata kama unasema unadegrees! zitakuwa za makalatasi tuu hakuna kitu hapo!
 
Ushauri ni vema ungetafute MUME wa kuzaa nae ila hapo utakuwa unazini tu na mtoto utakae mzaa atakuwa wa nje ya ndoa huoni si jambo zuri
Kama nimemuelewa mleta mada ni kwamba hajaja kuomba ushauri, bali anahitaji ku fulfill haja ya moyo wake. Na ametanabaisha kwamba... kama hamtaki kuwaoa, na yeye ameumizwa sana tayari, pia umri umeanza kumuacha. Hivyo anaona ni bora akipata mtoto ili aweze hamishia mapenzi kwa mwanae.
 
Sa donor anaanzaje kuwa karibu tena kama mmeo...we kama unataka ni kitendo cha kutega na ukipata unaendelea mbele....
 
hapo ndipo ndugu zangu ndipo mnapo jidhalilisha watu wengi humu account zao si za kweli wengi wao wanaweka hata majina feki huyo jamaa anataka kuwaona watu wenye uchu mko wangapi. Hivi kweli mishababi iliyo jaa Dar yote hiyo akose basi atakua na gundu la bundi na kama anasema anajimudu msingi kiuno mjini wako tele ni wa kuvuta mkono tu ki ufupi huyo dada/kaka anazingua.
 
inawezekana tabia zako sio nzuri the way unavyo vaa, pengine ni mlevi wewe, unapenda sana urembo! sisi wanaume hatuwezi kupoteza ukoo kwa watu kama ninyi msio jitambua. unataka sperm,alafu iweje? mtoto anakuwa wa mama babayake? akiri fupi izo! hata kama unasema unadegrees! zitakuwa za makalatasi tuu hakuna kitu hapo!

Asante mkuu ila kila mtu na maisha yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom