Natafuta sperm donor

Natafuta sperm donor

Nimeshaumizwa sana kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana kabisa na haya mambo ila nahitaji tu kuzaa Kwa sasa mana umri ushaanza kunitupa mkono.

Naomba mwanaume aliyetayari kunizalisha ajitokeze, awe mweupe na mrefu kiasi na awe tayari kuwa karibu nami katika kipindi chote cha kulea mimba ili niwe vizuri kisaikolojia na hivyo kutomdhuru mtoto tumboni (si lazima anihudumie kifedha ila tu awe karibu nami).

Baada ya mtoto kuzaliwa ni uamuzi wake kuwa karibu na mawanae au kumpotezea, nishajiandaa kisaikolojia kuwa single mother so sitampa mzigo wowote.
Uliye tayari kunisaidia njoo pm
Sasa nikishadonate hizo spamu mimi napata nini labuda?mtoto anabaki kwako? faida yangu ni ipi?? au unataka kututumia kama daraja
 
Kweli dada utapata PM nyingi sana lakini nilichoshangaa ni kuwa umetoa sifa za mwanamume mtarajiwa hujajieleza kuwa wewe upo vipi, masahib yalokupata hata siku zinayoyoma, je kwa nini hakuna aliyekuweza? Weka tu wazi hata ka umevamiwa na jini mahaba ambalo huwaua wanaume wanaokuhusudu. Ukiwa wazi, tutakusaidia tu.
Hakika, hakuna mwanamke atakayekosa mume/mwanamume wa kumuoa/kumzalisha. HAIWEZEKANI wala hayupo. Kama ni majini yalikusumbua njoo pm hapa dawa ipo na utaolewa na kuzaa. Usijirahisishe hivyo. Wanaotafuta sperm humba kuwaendea hao wenye hiyo mbegu, wakapewa halaf wakapotea kabisa.
 
Nimeshaumizwa sana kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana kabisa na haya mambo ila nahitaji tu kuzaa Kwa sasa mana umri ushaanza kunitupa mkono.

Naomba mwanaume aliyetayari kunizalisha ajitokeze, awe mweupe na mrefu kiasi na awe tayari kuwa karibu nami katika kipindi chote cha kulea mimba ili niwe vizuri kisaikolojia na hivyo kutomdhuru mtoto tumboni (si lazima anihudumie kifedha ila tu awe karibu nami).

Baada ya mtoto kuzaliwa ni uamuzi wake kuwa karibu na mawanae au kumpotezea, nishajiandaa kisaikolojia kuwa single mother so sitampa mzigo wowote.
Uliye tayari kunisaidia njoo pm
Tafadhali Mkuu Nakuomba Ni PM Haraka Sana
 
Tuma pcha yako Na utuambie Una shingap ya kununulia hzo mbegu?
 
Hiyo sifa ya weupe imenitoa kwenye mtanange
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom