Natafuta sperm donor

Natafuta sperm donor

Asante mkuu ila kila mtu na maisha yake
maisha uliyo yachagua ndio yanayo kutesa dada! hebu try plan B. ishi kama unavyo takiwa kuishi yaani wife material,,uone kama watu hawajagombania kuleta posa hapo! sasa wewe unaishi kama kindege, unafikiri utapata Mume! ladba wa kichina!
 
maisha uliyo yachagua ndio yanayo kutesa dada! hebu try plan B. ishi kama unavyo takiwa kuishi yaani wife material,,uone kama watu hawajagombania kuleta posa hapo! sasa wewe unaishi kama kindege, unafikiri utapata Mume! ladba wa kichina!

Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza
 
Mi nauza , kama upo serious ni pm tuongee biashara
 
Nimeshaumizwa sana kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana kabisa na haya mambo ila nahitaji tu kuzaa Kwa sasa mana umri ushaanza kunitupa mkono.

Naomba mwanaume aliyetayari kunizalisha ajitokeze, awe mweupe na mrefu kiasi na awe tayari kuwa karibu nami katika kipindi chote cha kulea mimba ili niwe vizuri kisaikolojia na hivyo kutomdhuru mtoto tumboni (si lazima anihudumie kifedha ila tu awe karibu nami).

Baada ya mtoto kuzaliwa ni uamuzi wake kuwa karibu na mawanae au kumpotezea, nishajiandaa kisaikolojia kuwa single mother so sitampa mzigo wowote.
Uliye tayari kunisaidia njoo pm

Ungesema na range ya umri wa huyo sperm
Ningehitaji msaada ningesema mkuu

Kuna mahali umeulizwa kama una age limit ya donor nadhani hujajibu. Au donor amekwishapatikana?
Kama tayari hongera sana
 
Nimeshaumizwa sana kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana kabisa na haya mambo ila nahitaji tu kuzaa Kwa sasa mana umri ushaanza kunitupa mkono.

Naomba mwanaume aliyetayari kunizalisha ajitokeze, awe mweupe na mrefu kiasi na awe tayari kuwa karibu nami katika kipindi chote cha kulea mimba ili niwe vizuri kisaikolojia na hivyo kutomdhuru mtoto tumboni (si lazima anihudumie kifedha ila tu awe karibu nami).

Baada ya mtoto kuzaliwa ni uamuzi wake kuwa karibu na mawanae au kumpotezea, nishajiandaa kisaikolojia kuwa single mother so sitampa mzigo wowote.
Uliye tayari kunisaidia njoo pm

Niko tayari aslimia mia
 
Nimeshaumizwa sana kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana kabisa na haya mambo ila nahitaji tu kuzaa Kwa sasa mana umri ushaanza kunitupa mkono.

Naomba mwanaume aliyetayari kunizalisha ajitokeze, awe mweupe na mrefu kiasi na awe tayari kuwa karibu nami katika kipindi chote cha kulea mimba ili niwe vizuri kisaikolojia na hivyo kutomdhuru mtoto tumboni (si lazima anihudumie kifedha ila tu awe karibu nami).

Baada ya mtoto kuzaliwa ni uamuzi wake kuwa karibu na mawanae au kumpotezea, nishajiandaa kisaikolojia kuwa single mother so sitampa mzigo wowote.
Uliye tayari kunisaidia njoo pm

Umenivutia sana kwa huo ujasiri
 
Tatzo la kuchanganya kiswahili na kiingereza

Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Contribute, Donate..: kiswahili ni kuchangia tu: ila kwa maana ya mhitaji kuna watu wamependekeza njia ya kuweka kwenye mfuko, then atajimiminia mwenyewe kwa kadri ya mahitaji yake. Ili kujiepusha kuchangia nje na kuambulia mengine, tikisa kabla ya kutumia.

Usile Mbegu.
 
Nimeshaumizwa sana kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana kabisa na haya mambo ila nahitaji tu kuzaa Kwa sasa mana umri ushaanza kunitupa mkono.

Naomba mwanaume aliyetayari kunizalisha ajitokeze, awe mweupe na mrefu kiasi na awe tayari kuwa karibu nami katika kipindi chote cha kulea mimba ili niwe vizuri kisaikolojia na hivyo kutomdhuru mtoto tumboni (si lazima anihudumie kifedha ila tu awe karibu nami).

Baada ya mtoto kuzaliwa ni uamuzi wake kuwa karibu na mawanae au kumpotezea, nishajiandaa kisaikolojia kuwa single mother so sitampa mzigo wowote.
Uliye tayari kunisaidia njoo pm
Hivi nikifungua duka sperm nitapata pesa...!
 
Nimeshaumizwa sana kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana kabisa na haya mambo ila nahitaji tu kuzaa Kwa sasa mana umri ushaanza kunitupa mkono.

Naomba mwanaume aliyetayari kunizalisha ajitokeze, awe mweupe na mrefu kiasi na awe tayari kuwa karibu nami katika kipindi chote cha kulea mimba ili niwe vizuri kisaikolojia na hivyo kutomdhuru mtoto tumboni (si lazima anihudumie kifedha ila tu awe karibu nami).

Baada ya mtoto kuzaliwa ni uamuzi wake kuwa karibu na mawanae au kumpotezea, nishajiandaa kisaikolojia kuwa single mother so sitampa mzigo wowote.
Uliye tayari kunisaidia njoo pm
Utakuwa mbaya wewe...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom