Natafuta sperm donor

Natafuta sperm donor

Nimeshaumizwa sana kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana kabisa na haya mambo ila nahitaji tu kuzaa Kwa sasa mana umri ushaanza kunitupa mkono.

Naomba mwanaume aliyetayari kunizalisha ajitokeze, awe mweupe na mrefu kiasi na awe tayari kuwa karibu nami katika kipindi chote cha kulea mimba ili niwe vizuri kisaikolojia na hivyo kutomdhuru mtoto tumboni (si lazima anihudumie kifedha ila tu awe karibu nami).

Baada ya mtoto kuzaliwa ni uamuzi wake kuwa karibu na mawanae au kumpotezea, nishajiandaa kisaikolojia kuwa single mother so sitampa mzigo wowote.
Uliye tayari kunisaidia njoo pm
Pm me
 
Mtoto huwa ni zawadi ya watu wawili WALIOPENDANA bt mambo ni tofauti
 
anagalia na KILOMETER zako zinasoma ngapi kama umesema umri usha anza kukutupa mkono uzazi nao huwa unasumbua
 
Nimeshaumizwa sana kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana kabisa na haya mambo ila nahitaji tu kuzaa Kwa sasa mana umri ushaanza kunitupa mkono.

Naomba mwanaume aliyetayari kunizalisha ajitokeze, awe mweupe na mrefu kiasi na awe tayari kuwa karibu nami katika kipindi chote cha kulea mimba ili niwe vizuri kisaikolojia na hivyo kutomdhuru mtoto tumboni (si lazima anihudumie kifedha ila tu awe karibu nami).

Baada ya mtoto kuzaliwa ni uamuzi wake kuwa karibu na mawanae au kumpotezea, nishajiandaa kisaikolojia kuwa single mother so sitampa mzigo wowote.
Uliye tayari kunisaidia njoo pm
best naimani utampata yule uliemkusudua pili nimefurahi sana post yako ndo post pekee hapa JF yenye maadhi ya kutafuta mwenza ambae ujahushisha degree ktk post yako
 
  • Thanks
Reactions: MC7
best naimani utampata yule uliemkusudua pili nimefurahi sana post yako ndo post pekee hapa JF yenye maadhi ya kutafuta mwenza ambae ujahushisha degree ktk post yako

Degree zangu zatosha na mtoto hubeba akili ya mama so baba hata akiwa la saba kwangu its ok
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom