Kisima mie... Wewe tutakupa oda y pumpNakupongeza kwa uwekezaji mkubwa huu, naamini utazalisha ajila kwa watanzania wengi. Kama utafanikiwa kupata ardhi basi wadau tupo kuhakikisha unapata maji ya kutosha kwenye eneo lako.
Tutafanya water exploration ya kutosha, ukiitaji kisima tutachimba na ukihitaji pump za maji za kutumia vyanzo mbalimbali vya umeme, tutatatua pia.
ha ha aya kivike9Kisima mie... Wewe tutakupa oda y pump
Labda uliweke cha juu kikubwa kwenye bei!?!Huyu jamaa kanichonganisha na mwenyekiti wa kisaki. Nimepiga sana na kutafuta connectuon, mashamba yamepatikana halafu yeye kakaa kimya..
binadam bwana
Mkuu kisima kizuri na chenye maji ya kutosha kwa kuweza kumwagilia hata eka tano ivi utafanya bei gani kwa hesabu ya haraka na kwa uzoefu wakoKisima mie... Wewe tutakupa oda y pump
ndo changamoto za utafutaji usiwe disappointed sana kila hatua kwenye maisha ni ELIMU.Huyu jamaa kanichonganisha na mwenyekiti wa kisaki. Nimepiga sana na kutafuta connectuon, mashamba yamepatikana halafu yeye kakaa kimya..
binadam bwana
Duthumi unauzaje kwa heka mkuu?Nikuuzie pale Dutumi Kama hutojali
Mkuu kinye kinye kiasi gani eka moja pande hizo za kisaki?Sihitaji kununua kwa sasa lakini nikijuwa bei itanisaidia sana.Huyu jamaa kanichonganisha na mwenyekiti wa kisaki. Nimepiga sana na kutafuta connectuon, mashamba yamepatikana halafu yeye kakaa kimya..
binadam bwana
Husije ukauza sehemu ya shamba la Mhe. Mama yetuNikuuzie pale Dutumi Kama hutojali
Mkuu vipi uliandika hiyo stori?Huko kisaki Morogoro kulinifilisi sina hamu nako hata kidogo.nusura nipate ugonjwa wa akili
Niliingiza 8M+ kwenye kilimo,baada ya msimu nikaambulia magunia 38 ya mahindi kutoka kwenye projection ya magunia 250.Halafu wenyeji wangu wananiambia hongera sana umepata mengi mbona. Nikatafakari jinsi ya kumueleza waifu maana alikuwa against hiyo project.Baadaye nikasema ngoja nijaribu tena,kwamba hakuna biashara isiyo na changa moto.Nilisikia sauti inaniambia jaribu tena utatoka mazima.Nikadhani ni Roho wa Mungu.Nika yahifadhi yale magunia yangu 40:Msimu ulipofika nikayauza na kuongeza tena na hela kutoka vyanzo vingine nikakodi tena shamba.niliingiza kam 4.5m this time.
Nikapata magunia 3 na debe 2. hayo nikapakia kwa kwenye train na mimi naikapanda zangu BINTI FOROGHO mpaka buguruni halafu, Wife aliniuliza mengine yako wapi.Namwambia ndiyo mavuno yote hayo.Nika conclude kilimo "USIPOKIJUA" ni "UMASKINI" uliobeba "KIFO".
Nataka nikakutulia niandike story yangu yenye kichwa "Jinsi nilivyo Nusurika Kuuawa na Kilimo"
Hicho kisima kinachimbwa wap?(mkoa,wilaya na sehemu husika) Na urefu gan? (Mita ngap)Mkuu kisima kizuri na chenye maji ya kutosha kwa kuweza kumwagilia hata eka tano ivi utafanya bei gani kwa hesabu ya haraka na kwa uzoefu wako