Yelawolf49
Member
- Sep 20, 2017
- 73
- 65
Habari wanajamvi,
Natafuta shamba eka 15+ maeneo ya Fukayosi, Kiwangwa na jirani na huko. Requirement liwe linafikika kwa gari hata kipindi cha mvua na pawe na uhakika wa maji ya kuchimba kwa kisima, nina idea ya investment ya muda mrefu ya kilimo na ufugaji, heka bei iwe 200-250k per heka, tafadhali kwa mwenye nalo au anaeweza nipa connection nitashukuru.
Natanguliza shukrani.
Natafuta shamba eka 15+ maeneo ya Fukayosi, Kiwangwa na jirani na huko. Requirement liwe linafikika kwa gari hata kipindi cha mvua na pawe na uhakika wa maji ya kuchimba kwa kisima, nina idea ya investment ya muda mrefu ya kilimo na ufugaji, heka bei iwe 200-250k per heka, tafadhali kwa mwenye nalo au anaeweza nipa connection nitashukuru.
Natanguliza shukrani.