nauza heka 10 ruvu km 45 kutoka mlandizi bei 5 m kwa heka zote unalima tikiti,nyanya,vitunguu shamba meter 10 toka ruvu
Mkuu iko kiwanja vp naweza kukipata ase? Au tayari kishachukuliwa,kam n ivo naomb nisaidie kupata maeneo mengne huko ambpo wanauza viwanja au mashamb kwa bei nafuu.Mkuranga kimanzichana _mbulani km 10 kutoka kimanzichana eka moja ni lak 5 upo ok?
Bei?
Bei gani huko?
Aisee thread ya kitambo kidg ngoja nikupigieEneo wazo hill madale 1 acres 0.5km from road tshs 95m.
If you need call 0767010802
Thanks