Natafuta shamba dogo Dar au Pwani kwa ajili ya ufugaji

tpmazembe

JF-Expert Member
Jan 5, 2012
2,469
581
Wadau natafuta shamba dogo nje kidogo ya mji kwa ajili ya ufugaji wa nguruwe, kuku na samaki.Naomba mwenye kujua eneo ambalo nitafuga viumbe hivyo bila kubuguziwa anisaidie nifanikishe.
 
Mkuranga maeneo ya Kise ,Kimanzichana kuna maeneo ya kutoshea na bei zake ni nzuri.. heka moja ni kati ya 300,000 hadi 400,000

Kibaha maeneo ya Kongowe pia unaweza pata maeneo ingawa bei zake zipo juu kidogo... heka inaanzia 3,000,000 ila inategemeana inaweza ikawa juu ya happ au ukabahatisha chini ya hapo.

Ila kwa ufugaji wa samaki itabidi usakafie maana udongo wake hasa kibaha sio wa mfinyanzi hivyo hautaweza kutuamisha maji kwaajili ya bwawa
 
Mkuranga maeneo ya Kise ,Kimanzichana kuna maeneo ya kutoshea na bei zake ni nzuri.. heka moja ni kati ya 300,000 hadi 400,000

Kibaha maeneo ya kongowe pia unaweza pata maeneo ingawa bei zake zipo juu kidogo... heka inaanzia 3,000,000 ila inategemeana inaweza ikawa juu ya happ au ukabahatisha chini ya hapo.

Ila kwa ufugaji wa samaki itabidi usakafie maana udongo wake hasa kibaha sio wa mfinyanzi hivyo hautaweza kutuamisha maji kwaajili ya bwawa

Thanks kaka, hata mkurunga ni kuzuri. ni muda gani toka mbagala mpaka huko ?maana mimi njia hiyo nimeishia mwandege tu.
 
Thanks kaka, hata mkurunga ni kuzuri. ni muda gani toka mbagala mpaka huko ?maana mimi njia hiyo nimeishia mwandege tu.

Ninauza shamba. Lipo mlandizi. Heka 5 1/2. Bei ni million moja na nusu kwa heka. 0659300351
 
Toka Mbagala hadi Kise ni kama dakika 50 hivi pia kutoka Mbagala hadi Kimanzichana ni kama saa moja na dakika 10 hivi kama unatumia usafiri wa daladala.
 
Off topic, na mie dogo anatafuta shamba/kiwanja njia ya Bagamoyo. Kuanzia Mapinga kuendelea Kerege, Zinga. Kiromo mwenye navyo au anaeyejua msaada please. Isizidi km 2 toka Bagamoyo rd.
 
Off topic, na mie dogo anatafuta shamba/kiwanja njia ya bagamoyo. Kuanzia Mapinga kuendelea Kerege, Zinga. Kiromo mwenye navyo au anaeyejua msaada please. Isizidi km 2 toka Bagamoyo rd.
,ulishapata mkuu,mimi ninalo maeneo ya Kiromo,kama bado unaitaji niPm
 
Weka contact zako wengi tunahitaj
Mkuranga maeneo ya Kise ,Kimanzichana kuna maeneo ya kutoshea na bei zake ni nzuri.. heka moja ni kati ya 300,000 hadi 400,000

Kibaha maeneo ya kongowe pia unaweza pata maeneo ingawa bei zake zipo juu kidogo... heka inaanzia 3,000,000 ila inategemeana inaweza ikawa juu ya happ au ukabahatisha chini ya hapo.

Ila kwa ufugaji wa samaki itabidi usakafie maana udongo wake hasa kibaha sio wa mfinyanzi hivyo hautaweza kutuamisha maji kwaajili ya bwawa
 
Mkuranga bei nafuu,na ardhi ina rutuba sana,inastawisha mihogo,nanasi,tikiti maji na machungwa,nina eneo huko,mwaka huu naanza kilimo cha mhogo na nanasi
 
Morinyo kaka nitafute nikupe ekari 2 zipo mkuranga maeneo ya kiparang'anda La karibu NA barabara kwani nina ekari 15 ila nitakupa kwa bei nzuri tu naam namba yangu_+255 657 740 797/RAS AMANI..
 
Morinyo kaka nitafute nikupe ekari 2 zipo mkuranga maeneo ya kiparang'anda La karibu NA barabara kwani nina ekari 15 ila nitakupa kwa bei nzuri tu naam namba yangu_+255 657 740 797/RAS AMANI..
MWANANCHI MUSOMMA sasa hapo ndipo utata unapoanzia hasa unaposema karibu na barabara, si unajua kuwa karibu na barabara ni hatari kwani wakati wowote Magufuri na timu yake anaweza kufika wakati wowote na unajua matokeo yake. Anyway, Kiparang'anda ni karibu na Kimanzichana au na Jaribu Mpakani? Ekari moja bei gani na maji yapo karibu?
 
nauza heka 10 ruvu km 45 kutoka mlandizi bei 5 m kwa heka zote unalima tikiti,nyanya,vitunguu shamba meter 10 toka ruvu
 
A.JAMANI SIKUWA NIMEWATENGA ILA NILIKUWA SAFARINI PIA NILIBANWA NA MAJUKUMU ILA NIPO DAR HIVI SASA NAAM NINA SHAMBA LA EKARI 15 NAUZA EKARI MOJA KWA MIL 3 ila pia mazunguzo yapo kwani mini mwenyewe ndie mmiliki halali na nina matunda mbalimbali ndani ya shamba pia mkuranga iko vyema sana ktk kilimo na ufugaji pia|KARIBUNI....
 
Mkuranga kimanzichana _mbulani km 10 kutoka kimanzichana eka moja ni lak 5 upo ok?
 
...bagamoyo km 8 njia ya lami kwenda msata. kama upon tayari nikupe mawasiliano ya dogo,..
 
Back
Top Bottom