karandarugo
Member
- Apr 23, 2015
- 39
- 7
Mm npo tyr.ila npo bukoba
Fafanua hebu tuelimike al akhy
Quran hairuhusu urafiki kisha eti ndio baadaye mfunge ndoa.Fafanua hebu tuelimike al akhy
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️Hebu ficha basi upuuzi kidogo sio lazima u comment utumbo ktk kila uzi! Ndio unatafuta umaarufu? Uzi upo wazi kasema hataki kuzini! Acheni kukatisha watu tamaa! Kama vip unasoma unapitaDoh safi sana, sasa wataka ndoa kabisa ama!???
Kama kunjunjana tuu mbona safi tuu, nipo hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nilivyoandika kwanza ni urfk Alf baadae mungu ndio anaejua, sijakataa lknHuko mtaani kwenu umekosa marafiki mkuu si useme unatafuta mpenzi tu
Uku mtaani kwe2 kumepooza pia soHuko mtaani kwenu umekosa marafiki mkuu si useme unatafuta mpenzi tu
Kama nilivyoandika kwanza ni urfk Alf baadae mungu ndio anaejua, sijakataa lkn
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu Mungu akufanyie wepesi kwenye utafuti wako wa marafiki
Ss na ww si mmoja wapo ama, nakuja dm kwakoSawa mkuu Mungu akufanyie wepesi kwenye utafuti wako wa marafiki
